Isaya 53:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Lakini alitobolewa kwa silaha+ kwa ajili ya ukosaji wetu;+Alikuwa anapondwa kwa ajili ya makosa yetu.+ Alibeba azabu kwa ajili ya amani yetu,+Na kwa sababu ya vidonda vyake tuliponyeshwa.+
5 Lakini alitobolewa kwa silaha+ kwa ajili ya ukosaji wetu;+Alikuwa anapondwa kwa ajili ya makosa yetu.+ Alibeba azabu kwa ajili ya amani yetu,+Na kwa sababu ya vidonda vyake tuliponyeshwa.+