12 Kwa sababu hiyo nitamupatia fungu kati ya wengi,
Na atagawa vitu vyenye vinachukuliwa katika vita pamoja na wenye nguvu,
Kwa sababu alimwanga uzima wake hata mupaka kifo+
Na alihesabiwa kati ya wakosaji;+
Alibeba zambi ya watu wengi,+
Na alitetea wakosaji.+