Waroma 6:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Je, hamujue kama ikiwa munajitoa kwa mutu yeyote kuwa watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa ule mwenye munatii,+ ao watumwa wa zambi+ yenye inaongoza kwenye kifo+ ao wa utii wenye unaongoza kwenye haki?
16 Je, hamujue kama ikiwa munajitoa kwa mutu yeyote kuwa watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa ule mwenye munatii,+ ao watumwa wa zambi+ yenye inaongoza kwenye kifo+ ao wa utii wenye unaongoza kwenye haki?