Yohana 16:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 Nimewaambia ninyi mambo haya ili kupitia mimi mukuwe na amani.+ Katika ulimwengu mutapata taabu, lakini musiogope! Mimi nimeshinda ulimwengu.”+ 1 Yohana 5:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Tunajua kama kila mutu mwenye alizaliwa kutokana na Mungu hazoee kufanya zambi, lakini ule mwenye alizaliwa kutokana na Mungu* anamulinda, na ule muovu hawezi kumushika.*+
33 Nimewaambia ninyi mambo haya ili kupitia mimi mukuwe na amani.+ Katika ulimwengu mutapata taabu, lakini musiogope! Mimi nimeshinda ulimwengu.”+
18 Tunajua kama kila mutu mwenye alizaliwa kutokana na Mungu hazoee kufanya zambi, lakini ule mwenye alizaliwa kutokana na Mungu* anamulinda, na ule muovu hawezi kumushika.*+