1 Yohana 4:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Kama mutu yeyote anasema: “Ninamupenda Mungu,” lakini anachukia ndugu yake, yeye ni muongo.+ Kwa maana mutu mwenye hamupendi ndugu yake+ mwenye amemuona, hawezi kumupenda Mungu mwenye hajaonaka.+
20 Kama mutu yeyote anasema: “Ninamupenda Mungu,” lakini anachukia ndugu yake, yeye ni muongo.+ Kwa maana mutu mwenye hamupendi ndugu yake+ mwenye amemuona, hawezi kumupenda Mungu mwenye hajaonaka.+