Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Watesalonike 2:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Musiache mutu yeyote awadanganye* ninyi kwa njia yoyote, kwa sababu siku hiyo haitakuja mupaka uasi-imani+ ukuje kwanza na ule mutu wa uvunjaji wa sheria+ afunuliwe, ule mwana wa uharibifu.+

  • 2 Petro 2:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Hata hivyo, kulikuwa pia manabii wa uongo kati ya watu, kama vile pia kutakuwa walimu wa uongo kati yenu.+ Hawa wataingiza kimya-kimya mazehebu* yenye kuharibu, na watamukana hata bwana mwenye aliwanunua,+ na kujiletea wenyewe uharibifu wa haraka.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine