3 Musiache mutu yeyote awadanganye* ninyi kwa njia yoyote, kwa sababu siku hiyo haitakuja mupaka uasi-imani+ ukuje kwanza na ule mutu wa uvunjaji wa sheria+ afunuliwe, ule mwana wa uharibifu.+
2Hata hivyo, kulikuwa pia manabii wa uongo kati ya watu, kama vile pia kutakuwa walimu wa uongo kati yenu.+ Hawa wataingiza kimya-kimya mazehebu* yenye kuharibu, na watamukana hata bwana mwenye aliwanunua,+ na kujiletea wenyewe uharibifu wa haraka.