-
2 Watesalonike 2:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Ni kweli, fumbo la huu uvunjaji wa sheria tayari linafanya kazi,+ lakini ni mupaka tu ule mwenye kutenda sasa kama kizuizi atakuwa ameondolewa katika njia.
-
-
Yuda 4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Sababu yangu ya kuwaandikia ni kwamba watu fulani wameingia kwa siri kati yenu; Maandiko yalisema tangu zamani kama wanastahili hukumu hii; watu hao hawamuogope Mungu, wanatumia fazili zenye hazistahiliwe za Mungu wetu kama kisingizio cha kuwa na mwenendo mupotovu wa bila haya,*+ na wanakana ule mumoja tu mwenye sisi ni mali yake na pia ni Bwana wetu, Yesu Kristo.+
-