3 Lakini kila neno lenye liliongozwa na roho lenye halimukubali Yesu halitokane na Mungu.+ Zaidi ya hayo, hilo ndilo neno lenye liliongozwa na roho la ule mupinga-Kristo lenye mumesikia kwamba linakuja,+ na sasa tayari liko katika ulimwengu.+
7 Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea katika ulimwengu,+ wale wenye hawakubali kama Yesu Kristo alikuja katika mwili.+ Hao ndio ule mudanganyifu na mupinga-Kristo.+