4 Kwa imani Abeli alimutolea Mungu zabihu yenye samani kubwa kuliko ile ya Kaini,+ na kupitia imani hiyo alitolewa ushahidi kwamba alikuwa mwenye haki, kwa maana Mungu alikubali* zawadi zake,+ na hata kama alikufa, angali anasema+ kupitia imani yake.