-
1 Wakorinto 9:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kama tumepanda vitu vya kiroho katikati yenu, je, ni jambo kubwa sana kama tunavuna vitu vya kimwili kutoka kwenu?+ 12 Kama watu wengine wako na haki hii ya kupata kitu fulani kutoka kwenu, je, sisi hatuna haki hiyo hata zaidi? Hata hivyo, hatukutumia haki* hii,+ lakini tunavumilia mambo yote, ili kwa njia yoyote tusizuie habari njema juu ya Kristo.+
-