Waroma 12:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Katika upendo wa kindugu mukuwe na upendo wenye upole* kwa mutu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima, mukuwe wa kwanza.+ Wafilipi 2:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Musifanye jambo lolote kwa ugomvi+ ao kwa kutafuta sifa,+ lakini kwa unyenyekevu* muone wengine kuwa wazuri zaidi kuliko ninyi,+ Waebrania 13:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Mutii wale wenye wanaongoza kati yenu+ na munyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale wenye watatoa hesabu,+ ili wafanye vile kwa furaha, hapana kwa kusumbuka, kwa maana jambo hilo lingewaumiza ninyi.
10 Katika upendo wa kindugu mukuwe na upendo wenye upole* kwa mutu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima, mukuwe wa kwanza.+
3 Musifanye jambo lolote kwa ugomvi+ ao kwa kutafuta sifa,+ lakini kwa unyenyekevu* muone wengine kuwa wazuri zaidi kuliko ninyi,+
17 Mutii wale wenye wanaongoza kati yenu+ na munyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale wenye watatoa hesabu,+ ili wafanye vile kwa furaha, hapana kwa kusumbuka, kwa maana jambo hilo lingewaumiza ninyi.