Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 1:5-10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Katikati yake kulikuwa kitu chenye kilifanana na viumbe ine (4) vyenye uzima,+ na kila kimoja kilionekana kama mwanadamu. 6 Kila kimoja cha viumbe hivyo kilikuwa na nyuso ine (4) na mabawa ine.+ 7 Miguu ya viumbe hivyo ilikuwa imenyooka, na vikanyangio vya miguu ya viumbe hivyo vilikuwa kama vikanyangio vya kitoto-dume cha ngombe, na vilikuwa vinangaa kama vile kungaa kwa shaba yenye kungarishwa.+ 8 Vilikuwa na mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yavyo pande zote ine (4), na vyote ine vilikuwa na nyuso na mabawa. 9 Mabawa ya viumbe hivyo yalikuwa yanagusana. Havikukuwa vinageuka wakati vilikuwa vinaenda; kila kimoja cha viumbe hivyo kilikuwa kinaenda mbele moja kwa moja.+

      10 Nyuso za viumbe hivyo zilionekana hivi: Kila kimoja cha viumbe hivyo ine (4) kilikuwa na uso wa mwanadamu na uso wa simba+ upande wa kuume, uso wa ngombe-dume+ upande wa kushoto, na kila kimoja cha viumbe hivyo ine kilikuwa na uso wa tai.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine