Ezekieli 10:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Wakati nilikuwa ninaangalia, niliona magurudumu* ine (4) pembeni ya makerubi, gurudumu moja pembeni ya kila kerubi, na magurudumu hayo yalionekana yenye kungaa kama jiwe la krisolito.+ Ezekieli 10:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Miili yao yote, migongo yao, mikono yao, mabawa yao, na yale magurudumu,* magurudumu ya wote ine (4), yalijaa macho kuzunguka pande zote.+
9 Wakati nilikuwa ninaangalia, niliona magurudumu* ine (4) pembeni ya makerubi, gurudumu moja pembeni ya kila kerubi, na magurudumu hayo yalionekana yenye kungaa kama jiwe la krisolito.+
12 Miili yao yote, migongo yao, mikono yao, mabawa yao, na yale magurudumu,* magurudumu ya wote ine (4), yalijaa macho kuzunguka pande zote.+