8 Wakati alikamata kile kitabu cha kukunjwa, vile viumbe ine (4) vyenye uzima na wale wazee makumi mbili na ine (24)+ wakaanguka chini mbele ya Mwana-Kondoo, na kila mumoja alikuwa na kinubi na mabakuli ya zahabu yenye kujaa uvumba. (Uvumba huo unamaanisha sala za watakatifu.)+