Matayo 5:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Vilevile, muache mwangaza wenu uangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu ya muzuri+ na wamutukuze Baba yenu wa mbinguni.+ Ufunuo 14:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Alikuwa anasema kwa sauti kubwa: “Mumuogope Mungu na kumupatia utukufu, kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ kwa hiyo mumuabudu Ule mwenye alifanya mbingu na dunia na bahari+ na chemchemi za maji.”*
16 Vilevile, muache mwangaza wenu uangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu ya muzuri+ na wamutukuze Baba yenu wa mbinguni.+
7 Alikuwa anasema kwa sauti kubwa: “Mumuogope Mungu na kumupatia utukufu, kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ kwa hiyo mumuabudu Ule mwenye alifanya mbingu na dunia na bahari+ na chemchemi za maji.”*