Ufunuo 10:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 na akaapa kwa Ule mwenye anaishi milele na milele,+ mwenye aliumba mbingu na vitu vyenye kuwa ndani yake na dunia na vitu vyenye kuwa ndani na bahari na vitu vyenye kuwa ndani:+ “Hakutakuwa tena kukawia.
6 na akaapa kwa Ule mwenye anaishi milele na milele,+ mwenye aliumba mbingu na vitu vyenye kuwa ndani yake na dunia na vitu vyenye kuwa ndani na bahari na vitu vyenye kuwa ndani:+ “Hakutakuwa tena kukawia.