Matayo 24:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 “Kwa maana taifa litasimama kupigana na taifa na ufalme kupigana na ufalme,+ na kutakuwa upungufu wa chakula+ na matetemeko ya inchi mahali pamoja kisha pengine.+ Luka 21:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Kisha akawaambia: “Taifa litasimama kupigana na taifa+ na ufalme kupigana na ufalme.+
7 “Kwa maana taifa litasimama kupigana na taifa na ufalme kupigana na ufalme,+ na kutakuwa upungufu wa chakula+ na matetemeko ya inchi mahali pamoja kisha pengine.+