Matayo 24:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 “Kisha watu watawatia ninyi katika taabu+ na watawaua ninyi,+ na mutachukiwa na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+ Matendo 9:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Lakini Sauli aliendelea kuogopesha wanafunzi wa Bwana na alikuwa anataka kuwaua,+ basi akaenda kwa kuhani mukubwa 2 Wakorinto 1:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Kwa maana hatutaki mukose kujua, ndugu, juu ya taabu yenye tulipata katika jimbo la Asia.+ Tulikuwa chini ya mukazo mukubwa sana kupita nguvu yetu wenyewe, mupaka hatukukuwa na uhakika kabisa hata juu ya uzima wetu.+
9 “Kisha watu watawatia ninyi katika taabu+ na watawaua ninyi,+ na mutachukiwa na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+
9 Lakini Sauli aliendelea kuogopesha wanafunzi wa Bwana na alikuwa anataka kuwaua,+ basi akaenda kwa kuhani mukubwa
8 Kwa maana hatutaki mukose kujua, ndugu, juu ya taabu yenye tulipata katika jimbo la Asia.+ Tulikuwa chini ya mukazo mukubwa sana kupita nguvu yetu wenyewe, mupaka hatukukuwa na uhakika kabisa hata juu ya uzima wetu.+