Ufunuo 3:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 “Kwa malaika wa kutaniko lenye kuwa katika Sardi andika: Haya ndiyo mambo yenye anasema ule mwenye kuwa na zile roho saba (7) za Mungu+ na zile nyota saba:+ ‘Ninajua matendo yako, kwamba uko na jina* kwamba uko muzima, lakini umekufa.+
3 “Kwa malaika wa kutaniko lenye kuwa katika Sardi andika: Haya ndiyo mambo yenye anasema ule mwenye kuwa na zile roho saba (7) za Mungu+ na zile nyota saba:+ ‘Ninajua matendo yako, kwamba uko na jina* kwamba uko muzima, lakini umekufa.+