20 Kuhusu siri takatifu ya zile nyota saba (7) zenye uliona katika mukono wangu wa kuume, na kuhusu vile vinara saba vya taa vya zahabu: Zile nyota saba zinamaanisha wale malaika wa yale makutaniko saba, na vile vinara saba vya taa vinamaanisha yale makutaniko saba.+