Matayo 17:1, 2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Kisha siku sita (6), Yesu alimuchukua Petro, Yakobo na Yohana ndugu yake na kuwapeleka kwenye mulima murefu wakiwa peke yao.+ 2 Na akageuzwa sura mbele yao; uso wake ukangaa kama jua, na nguo zake za inje zikangaa* kama mwangaza.+
17 Kisha siku sita (6), Yesu alimuchukua Petro, Yakobo na Yohana ndugu yake na kuwapeleka kwenye mulima murefu wakiwa peke yao.+ 2 Na akageuzwa sura mbele yao; uso wake ukangaa kama jua, na nguo zake za inje zikangaa* kama mwangaza.+