Waroma 6:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Kwa maana tunajua kama kwa kuwa sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ hakufe tena;+ kifo hakiko tena bwana juu yake. 1 Timoteo 6:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 yeye peke yake mwenye hawezi kufa,+ mwenye anaishi katika mwangaza wenye hauwezi kufikiwa,+ mwenye hakuna mwanadamu mwenye amemuona ao mwenye anaweza kumuona.+ Kwake yeye kukuwe heshima na nguvu ya milele. Amina.
9 Kwa maana tunajua kama kwa kuwa sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ hakufe tena;+ kifo hakiko tena bwana juu yake.
16 yeye peke yake mwenye hawezi kufa,+ mwenye anaishi katika mwangaza wenye hauwezi kufikiwa,+ mwenye hakuna mwanadamu mwenye amemuona ao mwenye anaweza kumuona.+ Kwake yeye kukuwe heshima na nguvu ya milele. Amina.