Ufunuo 8:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Malaika wa tatu (3) akapiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa yenye kuwaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni, na ikaanguka juu ya sehemu moja ya tatu (1/3) ya mito na juu ya chemchemi za maji.*+
10 Malaika wa tatu (3) akapiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa yenye kuwaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni, na ikaanguka juu ya sehemu moja ya tatu (1/3) ya mito na juu ya chemchemi za maji.*+