12 Malaika wa ine (4) akapiga tarumbeta yake. Na sehemu moja ya tatu (1/3) ya jua ikapigwa+ na sehemu moja ya tatu ya mwezi na sehemu moja ya tatu ya nyota, ili sehemu moja ya tatu ya hizo itiwe giza+ na muchana usikuwe na mwangaza kwa sehemu moja ya tatu yake, na usiku vilevile.