13 Malaika wa sita (6)+ akapiga tarumbeta yake.+ Na nikasikia sauti moja kutoka katika zile pembe za mazabahu ya zahabu+ yenye kuwa mbele ya Mungu 14 ikimuambia malaika wa sita (6) mwenye alikuwa na tarumbeta: “Fungua malaika ine (4) wenye wamefungwa kwenye muto mukubwa Efrati.”+