-
Yeremia 25:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Kamata kikombe hiki cha divai ya kasirani kali kutoka katika mukono wangu, na ufanye mataifa yote yenye ninakutuma kwao yakikunywe.
-
-
Ufunuo 15:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Kimoja cha vile viumbe ine (4) vyenye uzima kikapatia wale malaika saba (7) mabakuli saba ya zahabu yenye kujaa kasirani ya Mungu,+ mwenye anaishi milele na milele.
-