Isaya 21:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Angalia kile kinakuja: Wanaume katika gari la vita pamoja na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema kwa sauti kubwa: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+ Yeremia 51:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Babiloni ameanguka kwa kushitukia na amevunjika.+ Muomboleze kwa ajili yake!+ Mulete zeri kwa ajili ya maumivu yake; pengine anaweza kupona.” Ufunuo 14:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mukubwa+ ameanguka,+ ule mwenye alifanya mataifa yote yakunywe divai ya tamaa kubwa* ya uasherati* wake!”+
9 Angalia kile kinakuja: Wanaume katika gari la vita pamoja na kundi la farasi wa vita!”+ Kisha akasema kwa sauti kubwa: “Ameanguka! Babiloni ameanguka!+ Sanamu zake zote za kuchongwa za miungu yake amezivunja na kuziangusha chini!”+
8 Babiloni ameanguka kwa kushitukia na amevunjika.+ Muomboleze kwa ajili yake!+ Mulete zeri kwa ajili ya maumivu yake; pengine anaweza kupona.”
8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mukubwa+ ameanguka,+ ule mwenye alifanya mataifa yote yakunywe divai ya tamaa kubwa* ya uasherati* wake!”+