-
Isaya 47:7-9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Ulisema: “Sikuzote nitakuwa Bimukubwa,* milele.”+
Haukuweka mambo haya katika moyo wako;
Haukufikiria namna jambo hilo lingefikia mwisho.
8 Sasa sikia jambo hili, Ee mupenda-raha,+
Mwenye kukaa katika usalama, mwenye kusema katika moyo wake:
“Mimi ndiye, na hakuna mwingine.+
Sitakuwa mujane.
Hakuna siku nitapoteza watoto.”+
9 Lakini mambo haya mbili yatakupata bila kutazamia, kwa siku moja:+
Kupoteza watoto na ujane.
-