-
Ufunuo 13:15-17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Na akaruhusiwa kupatia pumuzi* ile sanamu ya munyama wa pori, kusudi ile sanamu ya munyama wa pori iweze kusema na pia kufanya wale wenye wanakataa kuabudu ile sanamu ya munyama wa pori wauawe.
16 Analazimisha watu wote—wadogo na wakubwa, matajiri na maskini, watu wenye kuwa huru na watumwa—ili wote watiwe alama kwenye mukono wao wa kuume ao kwenye paji la uso wao,+ 17 na kwamba mutu yeyote asiweze kununua ao kuuzisha isipokuwa tu mutu mwenye kuwa na ile alama, jina+ la ule munyama wa pori ao namba ya jina lake.+
-