-
Ufunuo 14:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Na nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wenye furaha ni wafu wenye wanakufa katika umoja na Bwana+ tangu wakati huu na kuendelea. Ndiyo, roho inasema, wapumuzike kutokana na kazi yao ya nguvu, kwa maana mambo yenye walifanya yanawasindikiza.”
-