Ufunuo 13:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Na akasimama* wima juu ya muchanga wa bahari. Na nikaona munyama wa pori+ akipanda kutoka katika bahari,+ mwenye pembe kumi (10) na vichwa saba (7), na mataji* kumi juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake kulikuwa majina ya kumutukana Mungu.
13 Na akasimama* wima juu ya muchanga wa bahari. Na nikaona munyama wa pori+ akipanda kutoka katika bahari,+ mwenye pembe kumi (10) na vichwa saba (7), na mataji* kumi juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake kulikuwa majina ya kumutukana Mungu.