Isaya 25:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Atameza* kifo milele,+Na Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova atapanguza machozi kwenye nyuso zote.+ Haya ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,Kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo. 1 Wakorinto 15:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Na adui wa mwisho mwenye ataharibiwa ni kifo.+
8 Atameza* kifo milele,+Na Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova atapanguza machozi kwenye nyuso zote.+ Haya ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,Kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.