Kutoka 24:9, 10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Musa na Haruni, Nadabu na Abihu, na wazee makumi saba (70) wa Israeli wakapanda kwenye mulima, 10 na wakamuona Mungu wa Israeli.+ Chini ya miguu yake kulikuwa kitu chenye kufanana sakafu* ya yakuti, na ilikuwa safi kama mbingu zenyewe.+
9 Musa na Haruni, Nadabu na Abihu, na wazee makumi saba (70) wa Israeli wakapanda kwenye mulima, 10 na wakamuona Mungu wa Israeli.+ Chini ya miguu yake kulikuwa kitu chenye kufanana sakafu* ya yakuti, na ilikuwa safi kama mbingu zenyewe.+