Isaya 60:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Milango yako mikubwa itakuwa wazi kila wakati;+Haitafungwa muchana wala usiku,Ili kukuletea mali za mataifa,Na wafalme wao wataongoza.+ Isaya 60:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Jua lako halitashuka tena,Wala mwezi wako hautafifia,Kwa maana Yehova atakuwa mwangaza wako wa milele,+Na siku zako za kuomboleza zitakuwa zimeisha.+
11 Milango yako mikubwa itakuwa wazi kila wakati;+Haitafungwa muchana wala usiku,Ili kukuletea mali za mataifa,Na wafalme wao wataongoza.+
20 Jua lako halitashuka tena,Wala mwezi wako hautafifia,Kwa maana Yehova atakuwa mwangaza wako wa milele,+Na siku zako za kuomboleza zitakuwa zimeisha.+