Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Muepuke ibada ya sanamu (1, 2)

      • Baraka za kuwa mutiifu (3-13)

      • Azabu ya kukosa kutii (14-46)

Mambo ya Walawi 26:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:4; Law. 19:4; Mdo 17:29; 1 Kor. 8:4
  • +Kum 5:8
  • +Hes 33:52
  • +Da. 3:18; 1 Kor. 10:14

Mambo ya Walawi 26:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuogopa.”

Mambo ya Walawi 26:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 11:13-15; Mhu. 12:13

Mambo ya Walawi 26:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:12; Isa 30:23; Eze 34:26; Yoe 2:23
  • +Zab 67:6; 85:12

Mambo ya Walawi 26:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 25:18

Mambo ya Walawi 26:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 22:9; Zab 29:11; Hag 2:9
  • +Mik 4:4

Mambo ya Walawi 26:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:7; Yosh. 23:10; Amu 7:15, 16; 15:15, 16; 1Nya 11:20

Mambo ya Walawi 26:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nitageuka kuwaelekea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:4
  • +Kut 6:4

Mambo ya Walawi 26:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu haitawakataa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:8; Eze 37:26; Ufu 21:3

Mambo ya Walawi 26:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 23:14
  • +Kut 6:7; 2 Kor. 6:16

Mambo ya Walawi 26:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mutembee mukiwa wima.”

Mambo ya Walawi 26:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15

Mambo ya Walawi 26:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 17:15
  • +Kut 24:7; Kum 31:16; Ebr 8:9

Mambo ya Walawi 26:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yenu ikuwe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:22, 33; Amu 6:3

Mambo ya Walawi 26:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 25; Amu 2:14; 1 Sa. 4:10
  • +Zab 106:41; Omb 1:5
  • +Law. 26:36

Mambo ya Walawi 26:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 11:17; 1 Fal. 17:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 24

Mambo ya Walawi 26:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 12:13; Hag 1:6, 10

Mambo ya Walawi 26:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:24; Yer 15:3
  • +Eze 5:17
  • +Amu 5:6; Isa 33:8; Zek 7:14

Mambo ya Walawi 26:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:16; Yer 2:30; 5:3

Mambo ya Walawi 26:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:7
  • +Kum 28:21; Yer 24:10; Amo 4:10
  • +Amu 2:14; 1 Sa. 4:10

Mambo ya Walawi 26:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “fimbo.” Inawezekana ni fimbo zenye zilikuwa zinatumiwa ili kuwekea mikate.

  • *

    Ao “chakula.”

  • *

    Ao “kilo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 5:16
  • +Eze 4:16
  • +Isa 9:20; Mik 6:14; Hag 1:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 24

Mambo ya Walawi 26:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:5

Mambo ya Walawi 26:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:53; 2 Fal. 6:29; Yer 19:9; Omb 4:10; Eze 5:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 154-155

    “Kila Andiko,” uku. 26

Mambo ya Walawi 26:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine neno la Kiebrania lenye linatumiwa hapa linahusiana na maneno “mavi ya wanyama” na linatumiwa ili kuonyesha zarau.

  • *

    Ao “nafsi yangu itawachukia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:3; Isa 27:9
  • +1 Fal. 13:2; 2 Fal. 23:8, 20; Eze 6:5
  • +Zab 78:58, 59

Mambo ya Walawi 26:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kutuliza.” Tnn., “ya kupumuzisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:9, 10; 2Nya 36:17; Ne 2:3; Isa 1:7; Yer 4:7

Mambo ya Walawi 26:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 9:11
  • +Kum 28:37; 29:22-24; Yer 18:16; Omb 2:15; Eze 5:15

Mambo ya Walawi 26:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 44:11
  • +Yer 9:16; Eze 12:14
  • +Zek 7:14

Mambo ya Walawi 26:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “itashika sabato.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:20, 21

Mambo ya Walawi 26:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 24:6
  • +Law. 26:17; Isa 30:17

Mambo ya Walawi 26:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 7:12; Amu 2:14; Yer 37:10

Mambo ya Walawi 26:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:27; 28:48; Yer 42:17

Mambo ya Walawi 26:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:65
  • +Kut 20:5; Hes 14:18

Mambo ya Walawi 26:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:33; Ne 9:2; Eze 6:9; Da. 9:5
  • +Eze 36:31

Mambo ya Walawi 26:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mioyo yao migumu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:24
  • +1 Fal. 8:47; 2Nya 36:20
  • +Kum 30:6; Yer 4:4; Mdo 7:51

Mambo ya Walawi 26:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 28:13
  • +Mwa 26:3
  • +Mwa 12:7; Kum 4:31; Zab 106:45

Mambo ya Walawi 26:43

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi zao zilichukia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:34; 2Nya 36:20, 21
  • +2 Fal. 17:15

Mambo ya Walawi 26:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:31; 2 Fal. 13:23; Ne 9:31
  • +Kum 4:13; Yer 14:21

Mambo ya Walawi 26:45

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:3, 8; Kum 9:9
  • +Eze 20:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 26

Mambo ya Walawi 26:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 27:34; Kum 6:1

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 26:1Kut 20:4; Law. 19:4; Mdo 17:29; 1 Kor. 8:4
Mambo ya walawi 26:1Kum 5:8
Mambo ya walawi 26:1Hes 33:52
Mambo ya walawi 26:1Da. 3:18; 1 Kor. 10:14
Mambo ya walawi 26:3Kum 11:13-15; Mhu. 12:13
Mambo ya walawi 26:4Kum 28:12; Isa 30:23; Eze 34:26; Yoe 2:23
Mambo ya walawi 26:4Zab 67:6; 85:12
Mambo ya walawi 26:5Law. 25:18
Mambo ya walawi 26:61Nya 22:9; Zab 29:11; Hag 2:9
Mambo ya walawi 26:6Mik 4:4
Mambo ya walawi 26:8Kum 28:7; Yosh. 23:10; Amu 7:15, 16; 15:15, 16; 1Nya 11:20
Mambo ya walawi 26:9Kum 28:4
Mambo ya walawi 26:9Kut 6:4
Mambo ya walawi 26:11Kut 25:8; Eze 37:26; Ufu 21:3
Mambo ya walawi 26:12Kum 23:14
Mambo ya walawi 26:12Kut 6:7; 2 Kor. 6:16
Mambo ya walawi 26:14Kum 28:15
Mambo ya walawi 26:152 Fal. 17:15
Mambo ya walawi 26:15Kut 24:7; Kum 31:16; Ebr 8:9
Mambo ya walawi 26:16Kum 28:22, 33; Amu 6:3
Mambo ya walawi 26:17Kum 28:15, 25; Amu 2:14; 1 Sa. 4:10
Mambo ya walawi 26:17Zab 106:41; Omb 1:5
Mambo ya walawi 26:17Law. 26:36
Mambo ya walawi 26:19Kum 11:17; 1 Fal. 17:1
Mambo ya walawi 26:20Yer 12:13; Hag 1:6, 10
Mambo ya walawi 26:22Kum 32:24; Yer 15:3
Mambo ya walawi 26:22Eze 5:17
Mambo ya walawi 26:22Amu 5:6; Isa 33:8; Zek 7:14
Mambo ya walawi 26:23Isa 1:16; Yer 2:30; 5:3
Mambo ya walawi 26:25Kut 24:7
Mambo ya walawi 26:25Kum 28:21; Yer 24:10; Amo 4:10
Mambo ya walawi 26:25Amu 2:14; 1 Sa. 4:10
Mambo ya walawi 26:26Eze 5:16
Mambo ya walawi 26:26Eze 4:16
Mambo ya walawi 26:26Isa 9:20; Mik 6:14; Hag 1:6
Mambo ya walawi 26:28Yer 21:5
Mambo ya walawi 26:29Kum 28:53; 2 Fal. 6:29; Yer 19:9; Omb 4:10; Eze 5:10
Mambo ya walawi 26:302Nya 34:3; Isa 27:9
Mambo ya walawi 26:301 Fal. 13:2; 2 Fal. 23:8, 20; Eze 6:5
Mambo ya walawi 26:30Zab 78:58, 59
Mambo ya walawi 26:312 Fal. 25:9, 10; 2Nya 36:17; Ne 2:3; Isa 1:7; Yer 4:7
Mambo ya walawi 26:32Yer 9:11
Mambo ya walawi 26:32Kum 28:37; 29:22-24; Yer 18:16; Omb 2:15; Eze 5:15
Mambo ya walawi 26:33Zab 44:11
Mambo ya walawi 26:33Yer 9:16; Eze 12:14
Mambo ya walawi 26:33Zek 7:14
Mambo ya walawi 26:342Nya 36:20, 21
Mambo ya walawi 26:36Isa 24:6
Mambo ya walawi 26:36Law. 26:17; Isa 30:17
Mambo ya walawi 26:37Yosh. 7:12; Amu 2:14; Yer 37:10
Mambo ya walawi 26:38Kum 4:27; 28:48; Yer 42:17
Mambo ya walawi 26:39Kum 28:65
Mambo ya walawi 26:39Kut 20:5; Hes 14:18
Mambo ya walawi 26:401 Fal. 8:33; Ne 9:2; Eze 6:9; Da. 9:5
Mambo ya walawi 26:40Eze 36:31
Mambo ya walawi 26:41Law. 26:24
Mambo ya walawi 26:411 Fal. 8:47; 2Nya 36:20
Mambo ya walawi 26:41Kum 30:6; Yer 4:4; Mdo 7:51
Mambo ya walawi 26:42Mwa 28:13
Mambo ya walawi 26:42Mwa 26:3
Mambo ya walawi 26:42Mwa 12:7; Kum 4:31; Zab 106:45
Mambo ya walawi 26:43Law. 26:34; 2Nya 36:20, 21
Mambo ya walawi 26:432 Fal. 17:15
Mambo ya walawi 26:44Kum 4:31; 2 Fal. 13:23; Ne 9:31
Mambo ya walawi 26:44Kum 4:13; Yer 14:21
Mambo ya walawi 26:45Kut 24:3, 8; Kum 9:9
Mambo ya walawi 26:45Eze 20:9
Mambo ya walawi 26:46Law. 27:34; Kum 6:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 26:1-46

Mambo ya Walawi

26 “‘Hamupaswe kujitengenezea miungu yenye haina mafaa yoyote,+ na hamupaswe kujisimamishia sanamu ya kuchongwa+ ao nguzo takatifu, na hamupaswe kutia jiwe lenye kuchongwa+ katika inchi yenu ili kuliinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu. 2 Munapaswa kushika sabato zangu na kuheshimia* patakatifu pangu. Mimi ni Yehova.

3 “‘Kama munaendelea kufuata sheria zangu na kushika amri zangu na kuzitenda,+ 4 nitawapatia matone ya mvua kwa wakati wake wenye kufaa,+ na inchi itatoa mazao yake,+ na miti ya mashamba itatoa matunda yake. 5 Kipindi chenu cha kupiga-piga nafaka kitaendelea mupaka wakati wa kuvuna zabibu, na kipindi cha kuvuna zabibu kitaendelea mupaka wakati wa kupanda; na mutakula mukate na kushiba na kuishi kwa usalama katika inchi yenu.+ 6 Nitatia amani katika inchi,+ na mutalala pasipo mutu wa kuwaogopesha;+ na nitaondoa katika inchi wanyama wote wakali wa pori, na upanga wa vita hautapita katika inchi yenu. 7 Hakika mutafuatilia maadui wenu, nao watakufa kwa upanga mbele yenu. 8 Watu tano (5) kati yenu watafuatilia mia moja (100), na mia moja watafuatilia elfu kumi (10 000), na maadui wenu watakufa kwa upanga mbele yenu.+

9 “‘Nitawaonyesha wema wangu* na kuwafanya muzae na kuongezeka,+ na nitatimiza agano lenye nilifanya pamoja na ninyi.+ 10 Wakati mutakuwa mungali munakula mazao ya zamani ya mwaka wenye ulitangulia, mutakuwa na lazima ya kuondoa mazao hayo ya zamani ili kupata nafasi ya kutia mazao ya mupya. 11 Na nitatia tabenakulo yangu katikati yenu,+ na sitawakataa.* 12 Nitatembea kati yenu na nitakuwa Mungu wenu,+ na ninyi kwa ngambo yenu mutakuwa watu wangu.+ 13 Mimi ni Yehova Mungu wenu, mwenye aliwatosha katika inchi ya Misri ili musiendelee kuwa watumwa wao, na nilivunja nira yenu na kuwafanya mutembee vichwa vyenu vikiwa wima.*

14 “‘Lakini, kama hamunisikilize wala kushika amri hizo zote,+ 15 na kama munakataa sheria zangu,+ na kama munachukia maamuzi yangu ya hukumu ili musishike amri zangu zote, na kuvunja agano langu,+ 16 basi, mimi, nitawatendea mambo haya: nitawapatia azabu kupitia taabu, kupitia ugonjwa wa kifua kikubwa na homa kali, ili kufanya macho yenu yafifie na uzima wenu ukuwe* zaifu. Mutapanda mbegu yenu bure, kwa maana maadui wenu wataikula.+ 17 Nitakunja uso wangu juu yenu, na maadui wenu watawashinda;+ na wale wenye kuwachukia watawakanyanga-kanyanga,+ na mutakimbia wakati hakuna mwenye anawafuatilia.+

18 “‘Hata kama mambo hayo hayawafanye munisikilize, nitawapatia azabu mara saba (7) zaidi kwa sababu ya zambi zenu. 19 Nitavunja kiburi chenu kigumu na nitafanya mbingu zenu zikuwe kama chuma+ na inchi yenu kama shaba. 20 Mutapoteza nguvu zenu bure, kwa maana inchi yenu haitatoa mazao,+ na miti ya inchi haitazaa matunda.

21 “‘Lakini kama munaendelea kunipinga na kukataa kunisikiliza, basi nitawapiga mara saba (7) zaidi kulingana na zambi zenu. 22 Nitatuma wanyama wa pori kati yenu,+ na watafanya mukose watoto+ na wataua wanyama wenu wa kufugwa na kupunguza hesabu yenu, na barabara zenu hazitakuwa na watu.+

23 “‘Kama hamukubali rekebisho langu+ kisha mambo hayo na munaendelea kunipinga, 24 basi mimi pia nitawapinga, na nitawapiga mara saba (7) kwa sababu ya zambi zenu. 25 Nitaleta upanga wenye kulipiza kisasi juu yenu kwa sababu ya kuvunja agano langu.+ Kama munakusanyika katika miji yenu, nitatuma ugonjwa katikati yenu,+ na mutatiwa katika mukono wa adui.+ 26 Wakati nitaharibu akiba* yenu ya mikate,*+ wanamuke kumi (10) watapiga mikate yenu katika jiko moja tu na kupima mikate kwenye mizani;*+ na mutakula lakini hamutashiba.+

27 “‘Kama hamunisikilize ijapokuwa mambo hayo na munaendelea kunipinga, 28 nitawapinga vikali,+ na nitawapatia azabu mara saba (7) kwa sababu ya zambi zenu. 29 Kwa hiyo mutalazimika kula nyama ya watoto wenu wanaume, na mutakula nyama ya watoto wenu wanamuke.+ 30 Nitaharibu mahali penu patakatifu pa juu+ na kuangusha chini vinara vyenu vya uvumba na nitarundika mizoga yenu juu ya mizoga ya sanamu zenu zenye kuchukiza,*+ na nitawachukia* na kuwaacha.+ 31 Nitaacha miji yenu iharibiwe kwa upanga+ na nitafanya mahali penu patakatifu pakuwe ukiwa, na sitafurahia harufu ya muzuri* ya zabihu zenu. 32 Mimi mwenyewe nitaifanya inchi ikuwe ukiwa,+ na maadui wenu wenye wataishi ndani yake wataiangalia kwa mushangao.+ 33 Na nitawasambaza kati ya mataifa,+ na nitachomoa upanga na ninyi mutakimbizwa;+ na inchi yenu itakuwa ukiwa,+ na miji yenu itaharibiwa.

34 “‘Wakati huo inchi italipa sabato zake siku zote zenye itakuwa ukiwa, wakati mutakuwa katika inchi ya maadui wenu. Wakati huo inchi itapumuzika,* kwa maana inapaswa kulipa sabato zake.+ 35 Siku zote zenye itakuwa ukiwa itapumuzika, kwa sababu haikupumuzika wakati wa sabato zenu wakati mulikuwa munakaa ndani yake.

36 “‘Kuhusu wale wenye watabakia,+ nitajaza ndani ya mioyo yao hisia ya kupoteza tumaini katika inchi za maadui wao; na sauti ya jani lenye kupeperushwa na upepo itawafanya wakimbie, na watakimbia kama mutu mwenye anakimbia upanga na kuanguka bila mutu mwenye anawafuatilia.+ 37 Watajikwaa mumoja juu ya mwingine kama wale wenye wanakimbia upanga, hata kama hakuna mwenye anawafuatilia. Hamutaweza kusimama mbele ya maadui wenu.+ 38 Mutakufa kati ya mataifa,+ na inchi ya maadui wenu itawakula. 39 Wamoja kati yenu wenye watabakia wataachwa ili waoze katika inchi za maadui wenu+ kwa sababu ya kosa lenu. Ndiyo, wataoza kwa sababu ya makosa ya baba zao.+ 40 Kisha wataungama kosa lao+ na kosa la baba zao na ukosefu wao wa uaminifu na watatambua kwamba walijiendesha kwa kukosa uaminifu kwa kutembea kwa kunipinga.+ 41 Kisha niliwapinga pia+ kwa kuwapeleka katika inchi ya maadui wao.+

“‘Pengine wakati huo mioyo yao yenye haitahiriwe* ingenyenyekezwa,+ na kisha walipie kosa lao. 42 Na nitakumbuka agano lenye nilifanya na Yakobo,+ na agano lenye nilifanya na Isaka,+ na pia agano lenye nilifanya na Abrahamu,+ na nitakumbuka inchi yao. 43 Wakati walikuwa wameacha inchi yao, ilikuwa inalipa sabato zake+ na ilikuwa imeachwa bila wao, na walikuwa wanalipia kosa lao, kwa sababu walikataa maamuzi yangu ya hukumu na walichukia* sheria zangu.+ 44 Lakini ijapokuwa mambo hayo yote, wakati watakuwa katika inchi ya maadui wao, sitawakataa kabisa+ wala sitawatupa mupaka kufikia kuwaharibu kabisa, kufanya vile kungevunja agano+ lenye nilifanya nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao. 45 Kwa ajili yao nitakumbuka agano lenye nilifanya na mababu zao+ wenye nilitosha katika inchi ya Misri mbele ya macho ya mataifa,+ ili nijionyeshe kuwa Mungu wao. Mimi ni Yehova.’”

46 Hayo ni masharti, maamuzi ya hukumu, na sheria zenye Yehova alitia kati yake na Waisraeli kwenye Mulima Sinai kupitia Musa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine