Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Kesi ya hukumu ya Paulo mbele ya Festo (1-12)

        • “Ninapeleka kesi yangu ya hukumu kwa Kaisari!” (11)

      • Festo anazungumuza na Mufalme Agripa (13-22)

      • Paulo mbele ya Agripa (23-27)

Matendo 25:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 24:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 196

Matendo 25:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 24:1

Matendo 25:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:20, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 196

Matendo 25:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 196

Matendo 25:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 197

Matendo 25:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:11; Lu 23:1, 2; Mdo 24:5

Matendo 25:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 24:11, 12

Matendo 25:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 24:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 197-198

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/12/2001, uku. 23-24

Matendo 25:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 198

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/12/2001, uku. 23-24

Matendo 25:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ninakata rufani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:26, 29
  • +Mdo 28:17-19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 29

    15/5/2008, uku. 32

    15/12/2001, uku. 23-24

    Kutoa Ushahidi, uku. 198

Matendo 25:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2015, uku. 12

    Kutoa Ushahidi, uku. 198

Matendo 25:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 198, 201

Matendo 25:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:2, 3

Matendo 25:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/12/2001, uku. 23

Matendo 25:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:7

Matendo 25:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “dini yao wenyewe.”

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:14, 15; 23:26, 29
  • +Mdo 22:6-8

Matendo 25:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:9

Matendo 25:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:11, 12

Matendo 25:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15

Matendo 25:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 22:22

Matendo 25:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:26, 29

Maandiko ingine

Mdo. 25:1Mdo 24:27
Mdo. 25:2Mdo 24:1
Mdo. 25:3Mdo 23:20, 21
Mdo. 25:5Mdo 25:16
Mdo. 25:7Mt 5:11; Lu 23:1, 2; Mdo 24:5
Mdo. 25:8Mdo 24:11, 12
Mdo. 25:9Mdo 24:27
Mdo. 25:11Mdo 23:26, 29
Mdo. 25:11Mdo 28:17-19
Mdo. 25:15Mdo 25:2, 3
Mdo. 25:16Mdo 25:5
Mdo. 25:18Mdo 25:7
Mdo. 25:19Mdo 18:14, 15; 23:26, 29
Mdo. 25:19Mdo 22:6-8
Mdo. 25:20Mdo 25:9
Mdo. 25:21Mdo 25:11, 12
Mdo. 25:22Mdo 9:15
Mdo. 25:24Mdo 22:22
Mdo. 25:25Mdo 23:26, 29
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 25:1-27

Matendo ya Mitume

25 Kwa hiyo, wakati Festo+ alikuwa amefika katika jimbo na kuchukua mamlaka, kisha siku tatu (3) alipanda kuenda Yerusalemu kutoka Kaisaria. 2 Na wakubwa wa makuhani na wanaume wenye vyeo kati ya Wayahudi wakamuelezea mashitaka juu ya Paulo.+ Basi wakaanza kumuomba Festo 3 akubali ombi lao kwa kumuleta Paulo akuje Yerusalemu. Lakini walikuwa wanapanga kumuvizia Paulo na kumuua katika barabara.+ 4 Hata hivyo, Festo akajibu kwamba Paulo alipaswa kulindwa kule Kaisaria na kwamba yeye mwenyewe alikuwa karibu kurudia kule kisha wakati mufupi. 5 Akasema: “Basi wale wenye kuwa na mamlaka kati yenu washuke pamoja na mimi na wamushitaki, kama kwa kweli mwanaume huyu amefanya kosa fulani.”+

6 Kwa hiyo wakati alikuwa amekaa nao siku zenye hazipite munane (8) ao kumi (10), akashuka kuenda Kaisaria, na siku yenye ilifuata akakaa kwenye kiti cha hukumu na kuamuru Paulo aingizwe ndani. 7 Wakati aliingia ndani, Wayahudi wenye walikuwa wameshuka kutoka Yerusalemu wakasimama kumuzunguka, wakitoa mashitaka mengi mazito yenye hawakuweza kuhakikisha.+

8 Lakini Paulo akasema hivi kwa kujitetea: “Sikutenda zambi yoyote juu ya Sheria ya Wayahudi ao juu ya hekalu ao juu ya Kaisari.”+ 9 Kwa kuwa Festo alitaka kukubaliwa na Wayahudi,+ akamujibu Paulo: “Je, ungependa kupanda kuenda Yerusalemu uhukumiwe kule mbele yangu juu ya mambo haya?” 10 Lakini Paulo akasema: “Nimesimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kaisari, kwenye ninapaswa kuhukumiwa. Sikutendea Wayahudi kosa, kama vile wewe pia unaelewa muzuri sasa. 11 Kama kwa kweli mimi ni mukosaji na nimefanya jambo lolote lenye linastahili kifo,+ sikatae kufa; lakini kama mashitaka yenye watu hawa wameleta juu yangu hayana musingi, hakuna mutu mwenye kuwa na haki ya kunitia katika mikono yao ili kuwafurahisha tu. Ninapeleka kesi yangu ya hukumu* kwa Kaisari!”+ 12 Basi Festo, kisha kuzungumuza na mukusanyiko wa washauri, akajibu: “Umeomba kesi yako ya hukumu isikilizwe na Kaisari; utaenda kwa Kaisari.”

13 Wakati siku fulani zilikuwa zimepita, mufalme Agripa na Bernike wakafika Kaisaria kumutembelea Festo ili kumusalimia. 14 Kwa kuwa walipitisha siku nyingi kule, Festo akamuelezea mufalme mambo ya Paulo, kwa kusema:

“Kuko mwanaume fulani mwenye Feliksi aliacha akiwa mufungwa, 15 na wakati nilikuwa Yerusalemu, wakubwa wa makuhani na wazee wa Wayahudi walileta habari juu yake,+ wakiomba ahukumiwe ili apewe azabu. 16 Lakini nikawajibu kwamba haiko desturi ya Kiroma kumutoa mutu yeyote ili tu kufurahisha watu, mbele ya mushitakiwa kukutana uso kwa uso na wale wenye kumushitaki na kupata nafasi ya kujitetea juu ya mashitaka yao.+ 17 Basi wakati walifika hapa, sikukawia, lakini siku yenye ilifuata nilikaa kwenye kiti cha hukumu na nikaamuru ule mwanaume aingizwe ndani. 18 Wakati wale wenye kumushitaki walisimama, hawakumushitaki hata jambo moja kati ya mambo maovu yenye niliwazia watamushitaki.+ 19 Walikuwa tu na mabishano fulani pamoja naye juu ya ibada yao wenyewe ya miungu*+ na juu ya mutu fulani mwenye kuitwa Yesu, mwenye alikufa, lakini mwenye Paulo alikuwa anasema iko* muzima.+ 20 Sikujua namna ya kumaliza bishano hilo, basi nikamuuliza kama angependa kuenda Yerusalemu ili ahukumiwe kule juu ya mambo hayo.+ 21 Lakini wakati Paulo aliomba awekwe katika kifungo akingojea uamuzi wa Muheshimiwa,+ niliamuru aendelee kulindwa mupaka wakati nitamutuma kwa Kaisari.”

22 Kisha Agripa akamuambia Festo: “Mimi mwenyewe ningependa kumusikia mutu huyo.”+ Akasema: “Kesho, utamusikia.” 23 Basi siku yenye ilifuata, Agripa na Bernike wakakuja kwa utukufu mwingi na wakaingia katika chumba cha baraza pamoja na makamanda wa jeshi na vilevile wanaume wa maana wa muji; na wakati Festo alitoa amri, Paulo akaingizwa ndani. 24 Festo akasema: “Mufalme Agripa na ninyi wote wenye kuwa hapa pamoja na sisi, munaona mutu huyu mwenye Wayahudi wote walikuwa wananiomba wakati nilikuwa Yerusalemu na huku pia, wakisema kwa sauti kubwa kwamba hapaswe kuendelea kuishi.+ 25 Lakini nikaona kwamba hakukuwa amefanya jambo lolote lenye linastahili kifo.+ Basi mutu huyu, wakati yeye mwenyewe aliomba mambo yake yasikilizwe na Muheshimiwa, niliamua kumutuma kule. 26 Lakini sina jambo la hakika la kuandikia Bwana wangu juu yake. Basi nimemuleta mbele yenu ninyi wote, zaidi sana mbele yako wewe, Mufalme Agripa, ili kisha kumuuliza maulizo ya hukumu, nipate jambo fulani la kuandika. 27 Kwa maana ninaona kuwa ni upumbavu kumutuma mufungwa bila kuonyesha mambo yenye anashitakiwa.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine