Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 120
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mugeni anatamani amani

        • ‘Uniokoe kutokana na ulimi mudanganyifu’ (2)

        • “Mimi ni mutu wa amani” (7)

Zaburi 120:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Zaburi 120:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:6
  • +Zab 50:15; Yon 2:1, 2

Zaburi 120:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “okoa nafsi yangu.”

Zaburi 120:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Naye atakuongezea nini?”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 12:22

Zaburi 120:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 7:13
  • +Zab 140:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 16

Zaburi 120:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:2
  • +Yer 49:28

Zaburi 120:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu imekuwa ikiishi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 57:4

Maandiko ingine

Zb. 120:1Zab 18:6
Zb. 120:1Zab 50:15; Yon 2:1, 2
Zb. 120:3Mez. 12:22
Zb. 120:4Zab 7:13
Zb. 120:4Zab 140:10
Zb. 120:5Mwa 10:2
Zb. 120:5Yer 49:28
Zb. 120:6Zab 57:4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 120:1-7

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda.*

120 Nilimuita Yehova katika taabu yangu,+

Na akanijibu.+

 2 Ee Yehova, niokoe* kutokana na midomo yenye kusema uongo

Na kutokana na ulimi mudanganyifu.

 3 Atakufanya nini, Naye atakupatia azabu namna gani,*

Wewe ulimi mudanganyifu?+

 4 Kwa mishale mikali+ ya mupiganaji-vita

Na makaa yenye kuwaka+ ya miti ya miretemu.

 5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mugeni katika Mesheki!+

Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+

 6 Nimekuwa nikiishi* kwa wakati murefu sana

Pamoja na wale wenye kuchukia amani.+

 7 Mimi ni mutu wa amani, lakini wakati ninasema,

Wao wanataka vita.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine