Zaburi
Wimbo wa Safari za Kupanda.*
2 Ee Yehova, niokoe* kutokana na midomo yenye kusema uongo
Na kutokana na ulimi mudanganyifu.
5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mugeni katika Mesheki!+
Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+
7 Mimi ni mutu wa amani, lakini wakati ninasema,
Wao wanataka vita.