Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Hatia ya damu na miji ya makimbilio (1-13)

      • Alama za mipaka hazipaswe kuhamishwa (14)

      • Mashahidi katika tribinali (15-21)

        • Mashahidi wawili ao watatu wanahitajiwa (15)

Kumbukumbu la Torati 19:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:1; 9:1

Kumbukumbu la Torati 19:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:14; Yosh. 20:7, 9

Kumbukumbu la Torati 19:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    11/2017, uku. 14

Kumbukumbu la Torati 19:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:15; Kum 4:42

Kumbukumbu la Torati 19:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:25

Kumbukumbu la Torati 19:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa sababu moyo wake uko moto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:12, 19
  • +Yosh. 20:4, 5

Kumbukumbu la Torati 19:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18; Kut 23:31; Kum 11:24
  • +Mwa 28:14

Kumbukumbu la Torati 19:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 11:22, 23
  • +Yosh. 20:7, 8

Kumbukumbu la Torati 19:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 6:16, 17
  • +Kum 21:6-9

Kumbukumbu la Torati 19:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anaumiza nafsi yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 3:15

Kumbukumbu la Torati 19:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:6; Kut 21:12; Hes 35:16; Kum 27:24

Kumbukumbu la Torati 19:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Jicho lako halitamusikilia huruma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 24:17, 21; Hes 35:33; 2 Sa. 21:1

Kumbukumbu la Torati 19:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 27:17

Kumbukumbu la Torati 19:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kusimama juu ya mutu mwingine.”

  • *

    Tnn., “kinywa cha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:30; Kum 17:6
  • +Mt 18:16; Yoh 8:17; 2 Kor. 13:1; 1 Tim. 5:19

Kumbukumbu la Torati 19:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:1; 1 Fal. 21:13; Mk 14:56

Kumbukumbu la Torati 19:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:8, 9

Kumbukumbu la Torati 19:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 13:14; 17:4; 2Nya 19:6

Kumbukumbu la Torati 19:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 19:5
  • +Kum 21:20, 21; 24:7; 1 Kor. 5:13

Kumbukumbu la Torati 19:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 13:11; 17:13; 1 Tim. 5:20

Kumbukumbu la Torati 19:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Jicho lako halitasikia.”

  • *

    Ao “Nafsi itakuwa.”

  • *

    Ao “nafsi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 19:13
  • +Kut 21:23-25; Law. 24:20; Mt 5:38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 131-133

Maandiko ingine

Kum. 19:1Kum 7:1; 9:1
Kum. 19:2Hes 35:14; Yosh. 20:7, 9
Kum. 19:4Hes 35:15; Kum 4:42
Kum. 19:5Hes 35:25
Kum. 19:6Hes 35:12, 19
Kum. 19:6Yosh. 20:4, 5
Kum. 19:8Mwa 15:18; Kut 23:31; Kum 11:24
Kum. 19:8Mwa 28:14
Kum. 19:9Kum 11:22, 23
Kum. 19:9Yosh. 20:7, 8
Kum. 19:10Mez. 6:16, 17
Kum. 19:10Kum 21:6-9
Kum. 19:111 Yo. 3:15
Kum. 19:12Mwa 9:6; Kut 21:12; Hes 35:16; Kum 27:24
Kum. 19:13Law. 24:17, 21; Hes 35:33; 2 Sa. 21:1
Kum. 19:14Kum 27:17
Kum. 19:15Hes 35:30; Kum 17:6
Kum. 19:15Mt 18:16; Yoh 8:17; 2 Kor. 13:1; 1 Tim. 5:19
Kum. 19:16Kut 23:1; 1 Fal. 21:13; Mk 14:56
Kum. 19:17Kum 17:8, 9
Kum. 19:18Kum 13:14; 17:4; 2Nya 19:6
Kum. 19:19Mez. 19:5
Kum. 19:19Kum 21:20, 21; 24:7; 1 Kor. 5:13
Kum. 19:20Kum 13:11; 17:13; 1 Tim. 5:20
Kum. 19:21Kum 19:13
Kum. 19:21Kut 21:23-25; Law. 24:20; Mt 5:38
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 19:1-21

Kumbukumbu la Torati

19 “Wakati Yehova Mungu wako ataharibu mataifa yenye Yehova Mungu wako anakupatia inchi yao na wakati utakuwa umekamata inchi yao na kuishi katika miji yao na nyumba zao,+ 2 utatia pembeni miji tatu (3) katikati ya inchi yako yenye Yehova Mungu wako anakupatia ili uiriti.+ 3 Utagawanya katika sehemu tatu (3) eneo la inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia ili uiriti, na utatayarisha barabara ili muuaji yeyote aweze kukimbilia katika muji mumoja kati ya miji hiyo.

4 “Sasa itakuwa hivi kuhusu muuaji mwenye anaweza kukimbilia kule ili aishi: Wakati anamupiga mwenzake bila kukusudia na hakukuwa anamuchukia mbele;+ 5 kama vile wakati anaenda na mwenzake katika pori ili kuokota kuni na anainua mukono wake ili akate muti na shoka, lakini shoka linachomoka kwenye mupini na kugonga mwenzake na anakufa, muuaji huyo anapaswa kukimbilia katika muji mumoja kati ya miji hiyo.+ 6 Kama hafanye vile, katika kasirani kali,* mulipiza-kisasi cha damu+ anaweza kumufuatilia, kumukamata, na kumuua, kwa sababu muji huo ulikuwa mbali sana. Lakini, hakustahili kufa, kwa sababu hakukuwa anamuchukia mwenzake mbele.+ 7 Ndiyo sababu ninakuamuru: ‘Utie pembeni miji tatu (3).’

8 “Kama Yehova Mungu wako anapanua eneo lako kama vile aliapia mababu zako+ na kama amekupatia inchi yote yenye aliahidi kupatia mababu zako+ 9 ⁠—​ikiwa unashika kwa uaminifu amri hii yote yenye ninakupatia leo, kumupenda Yehova Mungu wako na kutembea sikuzote katika njia zake+⁠—​basi utaongeza miji ingine tatu (3) kwenye hiyo miji tatu.+ 10 Hivyo hakuna damu yenye haina kosa yenye itamwangwa+ katika inchi yako yenye Yehova Mungu wako anakupatia kuwa uriti, na hatia yoyote ya damu haitakuja juu yako.+

11 “Lakini kama mutu alikuwa anamuchukia mwenzake+ na alikuwa anangojea kumushambulia na akamuumiza* mupaka kufa na akakufa, na mutu huyo amekimbilia katika muji mumoja kati ya miji hiyo, 12 basi wazee wa muji wake watamuita kutoka kule na kumutia katika mukono wa mulipiza-kisasi cha damu, na mutu huyo anapaswa kufa.+ 13 Hautamusikilia huruma,* na unapaswa kuondoa hatia ya damu yenye haina kosa katika Israeli,+ ili mambo yakuendee muzuri.

14 “Wakati utapokea uriti wako katika inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia ili uiriti, haupaswe kuondoa alama ya mupaka wa jirani yako+ mahali kwenye mababu zako waliweka mipaka.

15 “Shahidi mumoja hawezi kufanya mutu mwingine akuwe na hatia* kwa kosa lolote ao zambi yoyote yenye anaweza kutenda.+ Kwa ushuhuda wa* mashahidi wawili ao kwa ushuhuda wa mashahidi watatu (3) jambo litahakikishwa.+ 16 Kama shahidi mwenye nia mubaya anatoa ushuhuda juu ya mutu na anamushitaki kwa kosa fulani,+ 17 watu hao wawili wenye kuwa na mabishano watasimama mbele ya Yehova, mbele ya makuhani na waamuzi wenye watakuwa wanatumikia wakati huo.+ 18 Waamuzi watachunguza kwa uangalifu,+ na kama mutu huyo mwenye alishuhudia ni shahidi wa uongo na ameleta shitaka la uongo juu ya ndugu yake, 19 mutamutendea kama vile alipanga kumutendea ndugu yake,+ na unapaswa kuondoa mambo ya mubaya katikati yako.+ 20 Wale wenye kubakia watasikia na kuogopa, na hawatafanyaka tena jambo la mubaya kama hilo kati yako.+ 21 Haupaswe kumusikilia* huruma:+ Uzima utakuwa* kwa uzima,* jicho kwa jicho, jino kwa jino, mukono kwa mukono, muguu kwa muguu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine