Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wafalme

      • Yosia, mufalme wa Yuda (1, 2)

      • Maagizo kwa ajili ya kutengeneza hekalu (3-7)

      • Kitabu cha Sheria kinapatikana (8-13)

      • Hulda anatoa unabii wa musiba (14-20)

2 Wafalme 22:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 13:2; Yer 1:2; Sef 1:1
  • +2Nya 34:1, 2
  • +Yosh. 15:20, 39

2 Wafalme 22:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:5

2 Wafalme 22:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:8

2 Wafalme 22:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 6:13
  • +2 Fal. 12:4, 5; 2Nya 24:8
  • +2 Fal. 12:9; 2Nya 34:9

2 Wafalme 22:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mipasuko katika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 12:11, 12; 2Nya 34:10

2 Wafalme 22:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Mwashi ni fundi mwenye anajenga kwa kutumia majiwe ao matofali.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:11

2 Wafalme 22:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 12:15; 2Nya 34:12

2 Wafalme 22:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:3
  • +Kum 31:24-26
  • +2Nya 34:14, 15

2 Wafalme 22:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:16-18

2 Wafalme 22:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:9

2 Wafalme 22:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 34:19-21; Yoe 2:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2000, uku. 30

2 Wafalme 22:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:22; Yer 26:24

2 Wafalme 22:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:24; 29:27; 31:17

2 Wafalme 22:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:20; Amu 4:4; Ne 6:14; Lu 2:36; Mdo 21:8, 9
  • +2Nya 34:22-28

2 Wafalme 22:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:8

2 Wafalme 22:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:3; Kum 32:17; Amu 2:12; Yer 2:11
  • +Isa 2:8
  • +Kum 32:22; Isa 33:14; Yer 7:20; Eze 20:48

2 Wafalme 22:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “teketeke.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 21:29; Yak 4:6
  • +2 Fal. 22:11

2 Wafalme 22:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Haya ni maneno ya kishairi yenye kumaanisha kifo.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2000, uku. 30

    15/9/2000, uku. 30

Maandiko ingine

2 Fa. 22:11 Fal. 13:2; Yer 1:2; Sef 1:1
2 Fa. 22:12Nya 34:1, 2
2 Fa. 22:1Yosh. 15:20, 39
2 Fa. 22:21 Fal. 15:5
2 Fa. 22:32Nya 34:8
2 Fa. 22:41Nya 6:13
2 Fa. 22:42 Fal. 12:4, 5; 2Nya 24:8
2 Fa. 22:42 Fal. 12:9; 2Nya 34:9
2 Fa. 22:52 Fal. 12:11, 12; 2Nya 34:10
2 Fa. 22:62Nya 34:11
2 Fa. 22:72 Fal. 12:15; 2Nya 34:12
2 Fa. 22:82 Fal. 22:3
2 Fa. 22:8Kum 31:24-26
2 Fa. 22:82Nya 34:14, 15
2 Fa. 22:92Nya 34:16-18
2 Fa. 22:10Kum 31:9
2 Fa. 22:112Nya 34:19-21; Yoe 2:13
2 Fa. 22:122 Fal. 25:22; Yer 26:24
2 Fa. 22:13Kum 4:24; 29:27; 31:17
2 Fa. 22:14Kut 15:20; Amu 4:4; Ne 6:14; Lu 2:36; Mdo 21:8, 9
2 Fa. 22:142Nya 34:22-28
2 Fa. 22:162 Fal. 22:8
2 Fa. 22:17Kut 20:3; Kum 32:17; Amu 2:12; Yer 2:11
2 Fa. 22:17Isa 2:8
2 Fa. 22:17Kum 32:22; Isa 33:14; Yer 7:20; Eze 20:48
2 Fa. 22:191 Fal. 21:29; Yak 4:6
2 Fa. 22:192 Fal. 22:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wafalme 22:1-20

Cha Pili cha Wafalme

22 Yosia+ alikuwa na miaka munane (8) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi tatu na moja (31) katika Yerusalemu.+ Jina la mama yake lilikuwa Yedida binti ya Adaya kutoka Boskati.+ 2 Alifanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova na alitembea katika njia zote za Daudi babu yake,+ na hakugeuka kuenda upande wa kuume wala wa kushoto.

3 Katika mwaka wa kumi na munane (18) wa Mufalme Yosia, mufalme alimutuma Shafani mwandishi, mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu, kwenye nyumba ya Yehova,+ akisema: 4 “Panda uende kwa Hilkia+ kuhani mukubwa, na akusanye feza zote zenye zinaletwa katika nyumba ya Yehova,+ zenye walinzi wa mulango wamekusanya kutoka kwa watu.+ 5 Uwaagize wazipatie wale wenye waliwekwa ili kusimamia kazi katika nyumba ya Yehova, nao watazipatia wafanyakazi wenye kuwa katika nyumba ya Yehova wenye wanapaswa kutengeneza sehemu zenye kuharibika za* nyumba hiyo,+ 6 ni kusema, watazipatia mafundi, wajenzi, na waashi;* na wanapaswa kuzitumia kununua mbao na majiwe yenye kuchongwa ili kutengeneza nyumba hiyo.+ 7 Lakini hawapaswe kuombwa hesabu yoyote juu ya feza zenye wanapewa, kwa sababu ni wenye kutegemeka.”+

8 Kisha wakati fulani Hilkia kuhani mukubwa akamuambia Shafani mwandishi:+ “Nimepata kitabu cha Sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akamupatia Shafani kitabu hicho, naye akaanza kukisoma.+ 9 Kisha Shafani mwandishi akaenda kwa mufalme na kumuambia: “Watumishi wako wamemwanga feza zenye zilipatikana katika nyumba hiyo, na wamezipatia wale wenye waliwekwa ili kusimamia kazi katika nyumba ya Yehova.”+ 10 Pia, Shafani mwandishi akamuambia mufalme: “Kuko kitabu+ chenye Hilkia kuhani amenipatia.” Kisha Shafani akaanza kukisoma mbele ya mufalme.

11 Wakati tu mufalme alisikia maneno ya kitabu hicho cha Sheria, akapasua nguo zake.+ 12 Kisha mufalme akamuagiza hivi Hilkia kuhani, Ahikamu+ mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya mutumishi wa mufalme: 13 “Muende, mumuulize Yehova kwa ajili yangu, kwa ajili ya watu, na kwa ajili ya Yuda wote kuhusiana na maneno ya kitabu hiki chenye kimepatikana; kwa maana kasirani kali ya Yehova yenye imewashwa juu yetu ni kubwa,+ kwa sababu mababu zetu hawakutii maneno ya kitabu hiki kwa kushika mambo yote yenye kuandikwa juu yetu.”

14 Basi Hilkia kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani, na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii mwanamuke.+ Alikuwa bibi ya Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mutunzaji wa chumba cha nguo, na alikuwa anakaa katika Eneo la Pili la Yerusalemu; na wakasema naye kule.+ 15 Akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli anasema, ‘Mumuambie mutu mwenye aliwatuma ninyi kwangu: 16 “Yehova anasema hivi, ‘Nitaleta musiba juu ya mahali hapa na juu ya wakaaji wake, maneno yote ya kitabu chenye mufalme wa Yuda amesoma.+ 17 Kwa sababu wameniacha na wanatolea miungu mingine zabihu+ ili zitoe moshi ili kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao,+ kasirani yangu kali itawashwa juu ya mahali hapa na haitazimwa.’”+ 18 Lakini mufalme wa Yuda mwenye aliwatuma ninyi kumuuliza Yehova, ni hivi munapaswa kumuambia, “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Kuhusu maneno yenye umesikia, 19 kwa sababu moyo wako ulikuwa musikivu* na ulijinyenyekeza+ mbele ya Yehova wakati ulisikia mambo yenye nilisema juu ya mahali hapa na wakaaji wake⁠—​kwamba watakuwa kitu cha kuogopesha na laana⁠—​na ukapasua nguo zako+ na kulia mbele yangu, mimi pia nimekusikia, ni vile Yehova anasema. 20 Ndiyo sababu nitakukusanya pamoja na mababu zako,* na utalalishwa katika kaburi lako kwa amani, na macho yako hayataona musiba wote wenye nitaleta juu ya mahali hapa.’”’” Kisha wakamupelekea mufalme jibu hilo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine