Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Timoteo 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Timoteo

      • Sala kwa ajili ya watu wa namna zote (1-7)

        • Mungu mumoja, mupatanishi mumoja (5)

        • Bei ya ukombozi yenye kulingana kwa ajili ya wote (6)

      • Maagizo kwa wanaume na wanamuke (8-15)

        • Kuvaa kwa kiasi (9, 10)

1 Timoteo 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “dua.”

1 Timoteo 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye mamlaka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:44
  • +Yer 29:7

1 Timoteo 2:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yud 25

1 Timoteo 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ujuzi sahihi wa ile kweli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 45:22; Mdo 17:30; Rom. 5:18; 1 Tim. 4:10

1 Timoteo 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 6:4; Rom. 3:30
  • +Ebr 8:6; 9:15
  • +1 Kor. 11:25
  • +Mdo 4:12; Rom. 5:15; 2 Tim. 1:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 13-14

1 Timoteo 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watu wa kila namna.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 20:28; Mk 10:45; Kol 1:13, 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova,

    uku. 142-143

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2011, uku. 13

1 Timoteo 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15
  • +Gal 2:7, 8
  • +Gal 1:15, 16

1 Timoteo 2:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 141:2
  • +Yak 1:20
  • +Flp 2:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2002, uku. 19

1 Timoteo 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “za heshima.”

  • *

    Ao “uwezo wa kuchukua maamuzi ya muzuri; busara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 3:3, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    5/2016, uku. 19

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2015, uku. 9

    15/2/2009, uku. 20-21

    1/5/2005, uku. 29

    1/12/2003, uku. 22

    1/8/2002, uku. 17-18

    “Upendo wa Mungu,” uku. 56-57

    Mapenzi ya Yehova, uku. 11

    Vijana Huuliza 1, uku. 79

    Amuka!,

    8/10/2005, uku. 27

    Shule ya Huduma, uku. 131-132

1 Timoteo 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 31:30

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    5/2016, uku. 19

    Mapenzi ya Yehova, uku. 11

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2005, uku. 29

    1/12/2003, uku. 22

    1/8/2002, uku. 17-18

    Amuka!,

    8/10/2005, uku. 27

    Shule ya Huduma, uku. 131-132

1 Timoteo 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa utulivu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:24

1 Timoteo 2:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akuwe mutulivu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 14:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/1/2007, uku. 4

1 Timoteo 2:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 2:18, 22; 1 Kor. 11:8

1 Timoteo 2:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 3:6, 13

1 Timoteo 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wataendelea.”

  • *

    Ao “uwezo wa kuchukua maamuzi ya muzuri; busara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 5:14
  • +1 Tim. 2:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    6/2017, uku. 6

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2008, uku. 30

    1/5/2005, uku. 29

Maandiko ingine

1 Timotheo 2:2Mt 5:44
1 Timotheo 2:2Yer 29:7
1 Timotheo 2:3Yud 25
1 Timotheo 2:4Isa 45:22; Mdo 17:30; Rom. 5:18; 1 Tim. 4:10
1 Timotheo 2:5Kum 6:4; Rom. 3:30
1 Timotheo 2:5Ebr 8:6; 9:15
1 Timotheo 2:51 Kor. 11:25
1 Timotheo 2:5Mdo 4:12; Rom. 5:15; 2 Tim. 1:9, 10
1 Timotheo 2:6Mt 20:28; Mk 10:45; Kol 1:13, 14
1 Timotheo 2:7Mdo 9:15
1 Timotheo 2:7Gal 2:7, 8
1 Timotheo 2:7Gal 1:15, 16
1 Timotheo 2:8Zab 141:2
1 Timotheo 2:8Yak 1:20
1 Timotheo 2:8Flp 2:14
1 Timotheo 2:91 Pe. 3:3, 4
1 Timotheo 2:10Mez. 31:30
1 Timotheo 2:11Efe 5:24
1 Timotheo 2:121 Kor. 14:34
1 Timotheo 2:13Mwa 2:18, 22; 1 Kor. 11:8
1 Timotheo 2:14Mwa 3:6, 13
1 Timotheo 2:151 Tim. 5:14
1 Timotheo 2:151 Tim. 2:9, 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Timoteo 2:1-15

Ya Kwanza kwa Timoteo

2 Basi, kwanza kabisa, ninawatia ninyi moyo kwamba sala za kumulilia Mungu,* sala, kuombea wengine, na sala za shukrani, zifanywe kwa ajili ya watu wa namna zote, 2 kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye kuwa katika vyeo vya juu,*+ ili tuendelee kuishi maisha ya amani na yenye utulivu pamoja na ushikamanifu kamili kwa Mungu na kuchukua mambo kwa uzito.+ 3 Mambo hayo ni ya muzuri na yanakubaliwa mbele ya macho ya Mwokozi wetu, Mungu,+ 4 mwenye mapenzi yake ni kwamba watu wa namna zote waokolewe+ na wapate ujuzi wenye hauna makosa wa ile kweli.* 5 Kwa maana kuko Mungu mumoja,+ na kuko mupatanishi mumoja+ kati ya Mungu na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 mwenye alijitoa kuwa bei ya ukombozi yenye kulingana kwa ajili ya wote*+⁠—⁠hili ndilo litatolewa ushahidi kwa wakati wake mwenyewe wenye kufaa. 7 Niliwekwa kuwa muhubiri na mutume kwa kusudi la ushahidi+ huo+⁠—⁠ninasema kweli, siseme uongo⁠—⁠mwalimu wa mataifa+ kuhusiana na imani na kweli.

8 Basi ninatamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kutoa sala, wakiinua mikono yao kwa ushikamanifu,+ bila kasirani+ wala mabishano.+ 9 Vilevile, wanamuke wajipambe kwa nguo zenye kufaa,* kwa kiasi na akili ya muzuri,* hapana kwa namna za kusuka nywele, kwa zahabu ao lulu, ao nguo za bei sana,+ 10 lakini kwa njia yenye kufaa wanamuke wenye wanasema kama wanashikamana na Mungu,+ ni kusema, kupitia matendo ya muzuri.

11 Mwanamuke ajifunze akiwa kimya* na akiwa mwenye kujitiisha kwa ukamili.+ 12 Siruhusu mwanamuke afundishe ao akuwe na mamlaka juu ya mwanaume, lakini abakie kimya.*+ 13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.+ 14 Tena, Adamu hakudanganywa, lakini mwanamuke ndiye alidanganywa kabisa+ na akakuwa mutenda-zambi. 15 Hata hivyo, mwanamuke atalindwa salama kupitia kuzaa watoto,+ kama tu ataendelea* kuwa na imani na upendo na utakatifu pamoja na akili ya muzuri.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine