Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Wenye kubakia wa Israeli watakaa tena katika inchi (1-30)

        • Raheli anaombolezea watoto wake (15)

      • Agano jipya (31-40)

Yeremia 31:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:12; Yer 30:22; 31:33

Yeremia 31:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nimeendelea kukuonyesha upendo mushikamanifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 143

Yeremia 31:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “matari yako.”

  • *

    Ao “utaenda katika dansi ya wale wenye kucheka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 33:7; Amo 9:11
  • +Yer 30:18, 19

Yeremia 31:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 9:14; Mik 4:4
  • +Kum 30:9; Isa 65:21, 22

Yeremia 31:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 2:3; Yer 50:4, 5

Yeremia 31:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:43; Isa 44:23
  • +Isa 1:9; Yer 23:3; Yoe 2:32

Yeremia 31:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 43:6; Yer 3:12
  • +Kum 30:4; Eze 20:34; 34:12
  • +Isa 35:6; 42:16
  • +Ezr 2:1, 64

Yeremia 31:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mabonde.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 50:4
  • +Isa 35:7; 49:10
  • +Mwa 48:14; Kut 4:22

Yeremia 31:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:11; 42:10
  • +Isa 40:11; Eze 34:11-13; Mik 2:12

Yeremia 31:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kumuomba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:23; 48:20
  • +Isa 49:25

Yeremia 31:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vitu vizuri kutoka kwa.”

  • *

    Ao “Nafsi yao itakuwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 3:13; Zab 126:1; Isa 51:11
  • +Yoe 3:18
  • +Isa 65:10
  • +Isa 58:11
  • +Isa 35:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 278

Yeremia 31:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 8:4
  • +Ezr 3:12
  • +Isa 51:3; 65:19

Yeremia 31:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi ya makuhani.”

  • *

    Tnn., “mafuta.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:9; Isa 63:7

Yeremia 31:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watoto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 18:21, 25; Yer 40:1
  • +Omb 1:16
  • +Mt 2:16-18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yesu—Ni Njia, uku. 24

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2014, uku. 21

    15/8/2011, uku. 10

    Yeremia,

    uku. 162-163

Yeremia 31:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 1:5; Yer 23:3; Eze 11:17; Ho 1:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2014, uku. 21

Yeremia 31:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 29:11
  • +Yer 46:27

Yeremia 31:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2012, uku. 10-11

Yeremia 31:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:1-3
  • +Ezr 9:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2012, uku. 11

Yeremia 31:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “matumbotumbo yangu yamechochewa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 31:9; Ho 14:4
  • +Ho 11:8
  • +Kum 32:36; Mik 7:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2012, uku. 11

    Yeremia, uku. 181

Yeremia 31:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 62:10
  • +Isa 35:8

Yeremia 31:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:26
  • +Zek 8:3

Yeremia 31:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 33:12; Eze 36:10, 11

Yeremia 31:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yenye kuchoka.”

  • *

    Ao “kila nafsi yenye kuregea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 107:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 81-82

Yeremia 31:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uzao wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:9; Eze 36:9; Ho 2:23

Yeremia 31:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 44:27; 45:4
  • +Zab 102:16; 147:2; Yer 24:6

Yeremia 31:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ganzi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 18:2-4

Yeremia 31:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 26:27, 28; Lu 22:20; 1 Kor. 11:25; Ebr 8:8-12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2010, uku. 26-27

    Yeremia,

    uku. 169-170

Yeremia 31:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “bwana yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5
  • +Eze 16:59

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 169-170

Yeremia 31:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 11:19
  • +Ebr 10:16
  • +Yer 24:7; 30:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 173-175, 178-180

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 11

Yeremia 31:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 54:13; Yoh 17:3
  • +Isa 11:9; Hab 2:14
  • +Yer 33:8; 50:20; Mt 26:27, 28; Ebr 8:10-12; 9:15; 10:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 265-267

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 30

    Yeremia,

    uku. 170-173,

    176-177, 178-181

Yeremia 31:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 51:15

Yeremia 31:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 54:10; Yer 33:20, 21

Yeremia 31:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 30:11

Yeremia 31:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 12:27; Isa 44:28; Yer 30:18
  • +Ne 3:1; Zek 14:10
  • +2Nya 26:9

Yeremia 31:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 1:16

Yeremia 31:40

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eneo lote tambarare la chini.”

  • *

    Ao “majivu yenye mafuta,” ni kusema, majivu yenye kujaa mafuta ya zabihu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 15:23; 2 Fal. 23:6; Yoh 18:1
  • +Ne 3:28
  • +Yoe 3:17

Maandiko ingine

Yer. 31:1Law. 26:12; Yer 30:22; 31:33
Yer. 31:3Kum 7:8
Yer. 31:4Yer 33:7; Amo 9:11
Yer. 31:4Yer 30:18, 19
Yer. 31:5Amo 9:14; Mik 4:4
Yer. 31:5Kum 30:9; Isa 65:21, 22
Yer. 31:6Isa 2:3; Yer 50:4, 5
Yer. 31:7Kum 32:43; Isa 44:23
Yer. 31:7Isa 1:9; Yer 23:3; Yoe 2:32
Yer. 31:8Isa 43:6; Yer 3:12
Yer. 31:8Kum 30:4; Eze 20:34; 34:12
Yer. 31:8Isa 35:6; 42:16
Yer. 31:8Ezr 2:1, 64
Yer. 31:9Yer 50:4
Yer. 31:9Isa 35:7; 49:10
Yer. 31:9Mwa 48:14; Kut 4:22
Yer. 31:10Isa 11:11; 42:10
Yer. 31:10Isa 40:11; Eze 34:11-13; Mik 2:12
Yer. 31:11Isa 44:23; 48:20
Yer. 31:11Isa 49:25
Yer. 31:12Ezr 3:13; Zab 126:1; Isa 51:11
Yer. 31:12Yoe 3:18
Yer. 31:12Isa 65:10
Yer. 31:12Isa 58:11
Yer. 31:12Isa 35:10
Yer. 31:13Zek 8:4
Yer. 31:13Ezr 3:12
Yer. 31:13Isa 51:3; 65:19
Yer. 31:14Kum 30:9; Isa 63:7
Yer. 31:15Yosh. 18:21, 25; Yer 40:1
Yer. 31:15Omb 1:16
Yer. 31:15Mt 2:16-18
Yer. 31:16Ezr 1:5; Yer 23:3; Eze 11:17; Ho 1:11
Yer. 31:17Yer 29:11
Yer. 31:17Yer 46:27
Yer. 31:19Kum 30:1-3
Yer. 31:19Ezr 9:6
Yer. 31:20Yer 31:9; Ho 14:4
Yer. 31:20Ho 11:8
Yer. 31:20Kum 32:36; Mik 7:18
Yer. 31:21Isa 62:10
Yer. 31:21Isa 35:8
Yer. 31:23Isa 1:26
Yer. 31:23Zek 8:3
Yer. 31:24Yer 33:12; Eze 36:10, 11
Yer. 31:25Zab 107:9
Yer. 31:27Kum 30:9; Eze 36:9; Ho 2:23
Yer. 31:28Yer 44:27; 45:4
Yer. 31:28Zab 102:16; 147:2; Yer 24:6
Yer. 31:29Eze 18:2-4
Yer. 31:31Mt 26:27, 28; Lu 22:20; 1 Kor. 11:25; Ebr 8:8-12
Yer. 31:32Kut 19:5
Yer. 31:32Eze 16:59
Yer. 31:33Eze 11:19
Yer. 31:33Ebr 10:16
Yer. 31:33Yer 24:7; 30:22
Yer. 31:34Isa 54:13; Yoh 17:3
Yer. 31:34Isa 11:9; Hab 2:14
Yer. 31:34Yer 33:8; 50:20; Mt 26:27, 28; Ebr 8:10-12; 9:15; 10:17
Yer. 31:35Isa 51:15
Yer. 31:36Isa 54:10; Yer 33:20, 21
Yer. 31:37Yer 30:11
Yer. 31:382Nya 26:9
Yer. 31:38Ne 12:27; Isa 44:28; Yer 30:18
Yer. 31:38Ne 3:1; Zek 14:10
Yer. 31:39Zek 1:16
Yer. 31:402 Sa. 15:23; 2 Fal. 23:6; Yoh 18:1
Yer. 31:40Ne 3:28
Yer. 31:40Yoe 3:17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 31:1-40

Yeremia

31 “Wakati huo,” ni vile Yehova anasema, “Nitakuwa Mungu kwa familia zote za Israeli, na watakuwa watu wangu.”+

 2 Yehova anasema hivi:

“Watu wenye waliokoka upanga walionyeshwa wema katika jangwa

Wakati Israeli alikuwa anatembea kuenda mahali pake pa kupumuzikia.”

 3 Kutoka mbali Yehova alinitokea na kusema:

“Nimekupenda kwa upendo wa milele.

Ndiyo sababu nimekuvuta kwangu kwa upendo mushikamanifu.*+

 4 Bado nitakujenga upya na wewe utajengwa upya.+

Ee bikira wa Israeli, utachukua tena ngoma zako za kidogo*

Na kuenda ukicheza dansi kwa furaha.*+

 5 Utapanda tena mashamba ya mizabibu katika milima ya Samaria;+

Wapandaji watapanda na kufurahia matunda yake.+

 6 Kwa maana siku itakuja wakati walinzi katika milima ya Efraimu wataita:

‘Musimame, tupande kuenda Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+

 7 Kwa maana Yehova anasema hivi:

“Mumufanyie Yakobo makelele ya furaha.

Mupige vigelegele vya shangwe kwa sababu muko juu ya mataifa.+

Mutangaze jambo hilo; mutoe sifa na kusema,

‘Ee Yehova, okoa watu wako, mabaki ya Israeli.’+

 8 Ninawarudisha kutoka inchi ya kaskazini.+

Nitawakusanya pamoja kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+

Kati yao kutakuwa kipofu na kilema wa miguu,+

Mwanamuke mwenye mimba na ule mwenye kuzaa, wote pamoja.

Watarudia hapa wakiwa kutaniko kubwa.+

 9 Watakuja wakilia.+

Nitawaongoza wakati watakuwa wanaomba waonyeshwe rehema.

Nitawaongoza kwenye mito midogo* ya maji,+

Kwenye njia tambarare yenye haitafanya wajikwae.

Kwa maana mimi ni Baba ya Israeli, na Efraimu ni muzaliwa wangu wa kwanza.”+

10 Musikie neno la Yehova, ninyi mataifa,

Na mulitangaze kati ya visiwa vyenye kuwa mbali:+

“Ule mwenye alitawanya Israeli atamukusanya pamoja.

Atamuangalia kama vile muchungaji anafanyia kundi lake.+

11 Kwa maana Yehova atamukomboa Yakobo+

Na kumuokoa* kutoka katika mukono wa ule mwenye kuwa na nguvu kuliko yeye.+

12 Watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe kwenye nafasi ya juu ya Sayuni+

Na kungaa kwa sababu ya wema wa* Yehova,

Kwa sababu ya nafaka na divai mupya+ na mafuta,

Na kwa sababu ya watoto wa kundi na wa mifugo.+

Watakuwa* kama bustani yenye kunyweshwa maji muzuri,+

Na hawataregea tena hata siku moja.”+

13 “Wakati huo bikira atacheza kwa furaha,

Pia vijana na wanaume wazee wote pamoja.+

Nitageuza maombolezo yao kuwa furaha.+

Nitawafariji na kuwapatia furaha kuliko huzuni yao.+

14 Nitashibisha makuhani* kwa vitu vingi,*

Na watu wangu watashiba wema wangu,”+ ni vile Yehova anasema.

15 “Yehova anasema hivi:

‘Sauti inasikiwa katika Rama,+ maombolezo na kilio cha uchungu:

Raheli analia wana* wake.+

Amekataa kufarijiwa juu ya wana wake,

Kwa sababu hawako tena.’”+

16 Yehova anasema hivi:

“‘Zuia sauti yako usilie na macho yako yasitoe machozi,

Kwa maana kuko zawabu kwa ajili ya utendaji wako,’ ni vile Yehova anasema.

‘Watarudia kutoka katika inchi ya adui.’+

17 ‘Na kuko tumaini kwa ajili ya wakati wako wenye kuja,’+ ni vile Yehova anasema.

‘Wana wako watarudia katika eneo lao wenyewe.’”+

18 “Hakika nimesikia Efraimu akiomboleza,

‘Umenirekebisha, na nimerekebishwa,

Kama kitoto-dume cha ngombe chenye hakikuzoezwa.

Unirudishe, na nitageuka bila kusita,

Kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.

19 Kwa maana kisha mimi kugeuka nilisikitika;+

Kisha kusaidiwa kuelewa nilipiga paja langu kwa huzuni.

Nilipata haya na kufezeheka,+

Kwa maana nilibeba haya ya ujana wangu.’”

20 “Je, Efraimu haiko mwana mwenye samani kwangu, mutoto mupendwa?+

Kwa maana kila mara wakati ninasema kwa kumukemea, bado ninamukumbuka.

Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+

Na hakika nitamusikilia huruma,” ni vile Yehova anasema.+

21 “Ujiwekee alama za barabara,

Na usimamishe nguzo zenye alama ya kuonyesha njia.+

Kazia uangalifu njia kubwa, njia yenye utapita ndani.+

Rudia, Ee bikira wa Israeli, rudia kwenye miji yako hii.

22 Utaendelea kuyumba-yumba mupaka wakati gani, Ee binti mwenye kukosa uaminifu?

Kwa maana Yehova ameumba jambo la mupya katika dunia:

Mwanamuke atafuatilia mwanaume kwa bidii.”

23 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Watasema tena maneno haya katika inchi ya Yuda na katika miji yake wakati nitakusanya ili kurudisha watu wao wenye walikamatwa mateka: ‘Yehova akubariki, Ee makao ya haki,+ Ee mulima mutakatifu.’+ 24 Na ndani yake Yuda na miji yake yote watakaa wote pamoja, walimaji na wale wenye kuongoza makundi.+ 25 Kwa maana nitashibisha mwenye kuchoka* na kujaza kila mutu mwenye kuregea.”*+

26 Halafu nikaamuka na kufungua macho yangu, na usingizi wangu ulikuwa mutamu kwangu.

27 “Angalia! Siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati nitapanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda kwa mbegu ya* mwanadamu na kwa mbegu ya mifugo.”+

28 “Na kama vile niliwaangalia ili kungoa, kubomoa, kuangusha, kuharibu, na kuumiza,+ ni vile nitawaangalia ili kujenga na kupanda,”+ ni vile Yehova anasema. 29 “Katika siku hizo hawatasema tena, ‘Baba walikula zabibu chachu, lakini meno ya wana ndiyo yalitiwa ukakasi.’*+ 30 Lakini kila mutu atakufa kwa sababu ya kosa lake mwenyewe. Mutu yeyote mwenye atakula zabibu chachu, atatiwa ukakasi kwenye meno yake mwenyewe.”

31 “Angalia! Siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati nitafanya agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.+ 32 Halitakuwa kama lile agano lenye nilifanya pamoja na mababu zao siku yenye nilishika mukono wao ili kuwaongoza kutoka katika inchi ya Misri,+ ‘agano langu lenye walivunja,+ hata kama nilikuwa bwana wao* wa kweli,’ ni vile Yehova anasema.”

33 “Kwa maana hili ndilo agano lenye nitafanya pamoja na nyumba ya Israeli kisha siku hizo,” ni vile Yehova anasema. “Nitatia sheria yangu ndani yao,+ na nitaiandika katika moyo wao.+ Na nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+

34 “Na hawatafundishana tena kila mutu na jirani yake na kila mutu na ndugu yake, kwa kusema, ‘Mumujue Yehova!’+ kwa maana wote watanijua, kuanzia mudogo zaidi mupaka mukubwa zaidi kati yao,”+ ni vile Yehova anasema. “Kwa maana nitasamehe kosa lao, na sitakumbuka tena zambi yao.”+

35 Yehova anasema hivi:

Yeye mwenye anatoa jua kwa ajili ya mwangaza muchana,

Sheria za mwezi na nyota kwa ajili ya mwangaza usiku,

Yeye mwenye anachafua bahari na kufanya mawimbi yake yakuwe na muchafuko,

Yeye mwenye jina lake ni Yehova wa majeshi:+

36 “‘Kama masharti haya yangeshindwa,’ ni vile Yehova anasema,

‘Ni pale uzao wa Israeli ungeacha kuwa taifa mbele yangu sikuzote.’”+

37 Yehova anasema hivi: “‘Kama mbingu zenye kuwa juu zingeweza kupimwa na misingi ya dunia yenye kuwa chini ichunguzwe, ni pale ningekataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya mambo yote yenye wamefanya,’ ni vile Yehova anasema.”+

38 “Angalia! Siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati muji utajengwa+ kwa ajili ya Yehova kutoka Munara wa Hananeli+ mupaka Mulango Mukubwa wa Pembe.+ 39 Na kamba ya kupimia+ itaenda moja kwa moja mupaka kwenye kilima cha Garebu, na itazunguka kuelekea Goa. 40 Na bonde lote* la mizoga na la majivu* na matuta yote mupaka Bonde la Kidroni,+ mupaka kwenye pembe ya Mulango Mukubwa wa Farasi+ kuelekea mashariki, itakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova.+ Haitangolewa tena hata kidogo wala kubomolewa.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine