Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zekaria

      • Kuondolewa kwa sanamu na manabii wa uongo (1-6)

        • Manabii wa uongo watasikia haya (4-6)

      • Muchungaji atapigwa (7-9)

        • Sehemu moja ya tatu itasafishwa (9)

Zekaria 13:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 36:25, 29

Zekaria 13:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:13
  • +Kum 13:5

Zekaria 13:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 13:6-9; 18:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/12/2007, uku. 11

Zekaria 13:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 1:8; Mt 3:4

Zekaria 13:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2015, uku. 10-11

Zekaria 13:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katikati ya mikono yako.” Ni kusema, kwenye kifua ao kwenye mugongo.

  • *

    Ao “ya wale wenye wananipenda.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,”

    uku. 171-172

Zekaria 13:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kondoo watawanyike.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 34:23; Mik 5:4; Yoh 10:11; Ebr 13:20
  • +Isa 53:8; Da. 9:26; Mdo 3:18
  • +Mt 26:31, 55, 56; Mk 14:27, 50; Yoh 16:32

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2011, uku. 13

    Siku ya Yehova, uku. 55

    “Kila Andiko,”

    uku. 169, 172

Zekaria 13:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kufa.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/12/2007, uku. 11

Zekaria 13:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mal 3:2, 3
  • +Yer 30:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/12/2007, uku. 11

Maandiko ingine

Zek. 13:1Eze 36:25, 29
Zek. 13:2Kut 23:13
Zek. 13:2Kum 13:5
Zek. 13:3Kum 13:6-9; 18:20
Zek. 13:42 Fal. 1:8; Mt 3:4
Zek. 13:7Eze 34:23; Mik 5:4; Yoh 10:11; Ebr 13:20
Zek. 13:7Isa 53:8; Da. 9:26; Mdo 3:18
Zek. 13:7Mt 26:31, 55, 56; Mk 14:27, 50; Yoh 16:32
Zek. 13:9Mal 3:2, 3
Zek. 13:9Yer 30:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zekaria 13:1-9

Zekaria

13 “Katika siku hiyo kisima kitafunguliwa kwa ajili ya nyumba ya Daudi na wakaaji wa Yerusalemu ili kusafisha zambi na uchafu.+

2 “Katika siku hiyo,” ni vile Yehova wa majeshi anasema, “nitafuta majina ya sanamu kutoka katika inchi,+ na hayatakumbukwa tena; na nitaondoa katika inchi manabii+ na roho ya uchafu. 3 Na kama mutu anatoa unabii tena, baba yake na mama yake wenye walimuzaa watamuambia, ‘Hautaishi, kwa sababu umesema uongo katika jina la Yehova.’ Na baba yake na mama yake wenye walimuzaa watamutoboa kwa sababu anatoa unabii.+

4 “Katika siku hiyo kila nabii atasikilia maono yake haya wakati anatoa unabii; na hawatavaa nguo ya pekee ya manyoya+ ili kudanganya. 5 Na atasema, ‘Mimi siko nabii. Mimi ni mutu mwenye kulima udongo, kwa sababu mutu fulani alininunua wakati nilikuwa mudogo.’ 6 Na kama mutu fulani anamuuliza, ‘Vidonda hivi vyenye kuwa katikati ya mabega yako* ni vya nini?’ atajibu, ‘Nilipata vidonda wakati nilikuwa katika nyumba ya marafiki wangu.’”*

 7 “Ee upanga, amuka ushambulie muchungaji wangu,+

Ushambulie mutu mwenye ni mwenzangu,” ni vile Yehova wa majeshi anasema.

“Piga muchungaji,+ na kundi litawanyike;*+

Na nitageuza mukono wangu juu ya wale wenye kuwa wa hali ya chini.”

 8 “Na katika inchi yote,” ni vile Yehova anasema,

“Sehemu mbili ndani yake zitakatwa na kuangamia;*

Na sehemu moja ya tatu (1/3) itaachwa ndani yake.

 9 Na nitaleta sehemu hiyo moja ya tatu (1/3) kupitia moto;

Na nitawasafisha kama vile feza inasafishwa,

Na kuwajaribu kama vile zahabu inajaribiwa.+

Na wataitia jina langu,

Na nitawajibu.

Nitasema, ‘Ni watu wangu,’+

Na watasema, ‘Yehova ni Mungu wetu.’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine