Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zekaria

      • Yehova atalinda Yuda na Yerusalemu (1-9)

        • Yerusalemu, “jiwe nzito” (3)

      • Kuomboleza juu ya ule mwenye alitobolewa (10-14)

Zekaria 12:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “pumuzi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 26:7; Isa 42:5
  • +Zab 102:25; Isa 45:18

Zekaria 12:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bakuli lenye linafanya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 14:14

Zekaria 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “lenye ni muzigo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Sef 3:19
  • +Zek 14:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/12/2007, uku. 22-23

Zekaria 12:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/12/2007, uku. 23-24

Zekaria 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Shehe alikuwa mukubwa wa kabila.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:10; Yoe 3:16; Zek 12:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/12/2007, uku. 24

Zekaria 12:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katika mahali pake penye kufaa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:15
  • +Mik 4:13; Zek 9:15
  • +Zek 2:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/12/2007, uku. 24

    1/12/2007, uku. 11

Zekaria 12:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utukufu.”

  • *

    Ao “utukufu.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/12/2007, uku. 25

Zekaria 12:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye kuwa muzaifu zaidi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:6; Yoe 3:16; Zek 2:5; 9:15
  • +Kut 14:19; 23:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/12/2007, uku. 25

Zekaria 12:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 54:17; Hag 2:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/12/2007, uku. 25

Zekaria 12:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “dua.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 19:34, 37; 20:27; Ufu 1:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yesu—Ni Njia, uku. 303

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2011, uku. 16

    Siku ya Yehova, uku. 55

    “Kila Andiko,”

    uku. 169, 172

Zekaria 12:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:29; 2Nya 35:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/12/2007, uku. 10

Zekaria 12:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:13, 14; Lu 3:23, 31

Zekaria 12:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:16
  • +Kut 6:17; 1Nya 23:10

Maandiko ingine

Zek. 12:1Yob 26:7; Isa 42:5
Zek. 12:1Zab 102:25; Isa 45:18
Zek. 12:2Zek 14:14
Zek. 12:3Sef 3:19
Zek. 12:3Zek 14:2, 3
Zek. 12:5Isa 41:10; Yoe 3:16; Zek 12:8
Zek. 12:6Isa 41:15
Zek. 12:6Mik 4:13; Zek 9:15
Zek. 12:6Zek 2:4
Zek. 12:8Yer 23:6; Yoe 3:16; Zek 2:5; 9:15
Zek. 12:8Kut 14:19; 23:20
Zek. 12:9Isa 54:17; Hag 2:22
Zek. 12:10Yoh 19:34, 37; 20:27; Ufu 1:7
Zek. 12:112 Fal. 23:29; 2Nya 35:22
Zek. 12:122 Sa. 5:13, 14; Lu 3:23, 31
Zek. 12:13Kut 6:16
Zek. 12:13Kut 6:17; 1Nya 23:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zekaria 12:1-14

Zekaria

12 Tangazo:

“Neno la Yehova juu ya Israeli,” ni vile Yehova anasema,

Ule mwenye alitandika mbingu,+

Mwenye aliweka musingi wa dunia,+

Na mwenye alifanyiza roho* ya mwanadamu ndani yake.

2 “Angalia, ninafanya Yerusalemu kuwa kikombe chenye kinafanya* vikundi vyote vya watu vya pembeni-pembeni viyumbe-yumbe; na Yuda itazungukwa kwa ajili ya vita na pia Yerusalemu.+ 3 Katika siku hiyo nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe nzito* kwa vikundi vyote vya watu. Wale wote wenye wanalinyangula bila shaka wataumia sana;+ na mataifa yote ya dunia yatakusanyika ili kupigana naye.+ 4 Katika siku hiyo,” ni vile Yehova anasema, “nitatia kila farasi woga na mupandaji wake nitamutia wazimu. Nitaendelea kuangalia nyumba ya Yuda, lakini kila farasi wa vikundi vya watu nitamupofusha. 5 Na mashehe* wa Yuda watasema katika moyo wao, ‘Wakaaji wa Yerusalemu ni nguvu kwangu kupitia Yehova wa majeshi Mungu wao.’+ 6 Katika siku hiyo nitafanya mashehe wa Yuda wakuwe kama chungu chenye kujaa moto kati ya miti na kama mwenge wenye kuwaka moto katika fungu la nafaka yenye imekatwa,+ na watateketeza kwa moto kwenye upande wa kuume na upande wa kushoto vikundi vyote vya watu vya pembeni-pembeni;+ na Yerusalemu itakuwa tena na wakaaji katika mahali pake,* katika Yerusalemu.+

7 “Na Yehova ataokoa mahema ya Yuda kwanza, ili uzuri* wa nyumba ya Daudi na uzuri* wa wakaaji wa Yerusalemu usikuwe mukubwa sana juu ya Yuda. 8 Katika siku hiyo Yehova atakuwa ulinzi kuzunguka wakaaji wa Yerusalemu;+ katika siku hiyo ule mwenye kujikwaa* kati yao atakuwa kama Daudi, na nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yehova mwenye anaenda mbele yao.+ 9 Na katika siku hiyo nitahakikisha kuwa ninaangamiza mataifa yote yenye yanakuja kushambulia Yerusalemu.+

10 “Nitamwanga juu ya nyumba ya Daudi na juu ya wakaaji wa Yerusalemu roho ya wema na ya kumulilia Mungu,* na watamuangalia ule mwenye walitoboa,+ na watamuombolezea kama vile wangeombolezea mwana wa pekee; na watamulia kwa uchungu kama vile wangemulia mwana muzaliwa wa kwanza. 11 Katika siku hiyo maombolezo katika Yerusalemu yatakuwa makubwa, kama maombolezo ya Hadadrimoni katika Bonde la Megido.+ 12 Na inchi itaomboleza, kila familia peke yake; familia ya nyumba ya Daudi peke yake, na wanamuke wao peke yao; familia ya nyumba ya Natani+ peke yake, na wanamuke wao peke yao; 13 familia ya nyumba ya Lawi+ peke yake, na wanamuke wao peke yao; familia ya nyumba ya Shimei+ peke yake, na wanamuke wao peke yao; 14 na kila familia zenye kubakia, kila familia peke yake, na wanamuke wao peke yao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine