Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Kukaza uangalifu zaidi kuliko kawaida (1-4)

      • Vitu vyote vimetiishwa chini ya Yesu (5-9)

      • Yesu na ndugu zake (10-18)

        • Kiongozi Mukubwa wa wokovu wao (10)

        • Kuhani mukubwa mwenye rehema (17)

Waebrania 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 8:15
  • +Zab 73:2; Ebr 3:12; 2 Pe. 3:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2013, uku. 9

    1/4/2004,

    uku. 11-12

    15/9/2002, uku. 10-12

    “Kila Andiko,” uku. 245

Waebrania 2:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 3:19
  • +Kum 4:3; Yud 5

Waebrania 2:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 10:28, 29
  • +Mk 1:14

Waebrania 2:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:22
  • +1 Kor. 12:11

Waebrania 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 17:31; 2 Pe. 3:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2009, uku. 11

Waebrania 2:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 144:3

Waebrania 2:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 8:4-6
  • +Mt 28:18; 1 Kor. 15:27; Efe 1:22
  • +1 Pe. 3:22
  • +Zab 110:1

Waebrania 2:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 2:7
  • +Ufu 5:9
  • +Isa 53:5, 8; Rom. 5:17; 1 Tim. 2:5, 6

Waebrania 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:18, 19; 2 Kor. 6:18
  • +Mdo 5:31; Ebr 12:2
  • +Lu 24:26; Ebr 5:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1954

Waebrania 2:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 17:19; Ebr 10:14
  • +Yoh 20:17
  • +Mt 12:50; Rom. 8:29

Waebrania 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/4/2007, uku. 21

Waebrania 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 8:17
  • +Isa 8:18

Waebrania 2:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:14
  • +Yob 1:19
  • +Mwa 3:15; Lu 10:18; Yoh 8:44; 1 Yo. 3:8; Ufu 12:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 10

    15/3/2011, uku. 25

    15/10/2008, uku. 31-32

    15/1/2006, uku. 27

    1/7/2003, uku. 30

Waebrania 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akomboe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 25:8; Rom. 8:20, 21; 1 Kor. 15:26

Waebrania 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 3:29

Waebrania 2:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 2:7
  • +Rom. 3:25; 1 Yo. 2:1, 2; 4:10
  • +Rom. 5:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/4/2007, uku. 21

    1/2/2007, uku. 20-21

Waebrania 2:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 4:15
  • +Ebr 7:25; Ufu 3:10

Maandiko ingine

Ebr. 2:1Lu 8:15
Ebr. 2:1Zab 73:2; Ebr 3:12; 2 Pe. 3:17
Ebr. 2:2Gal 3:19
Ebr. 2:2Kum 4:3; Yud 5
Ebr. 2:3Ebr 10:28, 29
Ebr. 2:3Mk 1:14
Ebr. 2:4Mdo 2:22
Ebr. 2:41 Kor. 12:11
Ebr. 2:5Mdo 17:31; 2 Pe. 3:13
Ebr. 2:6Zab 144:3
Ebr. 2:8Zab 8:4-6
Ebr. 2:8Mt 28:18; 1 Kor. 15:27; Efe 1:22
Ebr. 2:81 Pe. 3:22
Ebr. 2:8Zab 110:1
Ebr. 2:9Flp 2:7
Ebr. 2:9Ufu 5:9
Ebr. 2:9Isa 53:5, 8; Rom. 5:17; 1 Tim. 2:5, 6
Ebr. 2:10Rom. 8:18, 19; 2 Kor. 6:18
Ebr. 2:10Mdo 5:31; Ebr 12:2
Ebr. 2:10Lu 24:26; Ebr 5:8
Ebr. 2:11Yoh 17:19; Ebr 10:14
Ebr. 2:11Yoh 20:17
Ebr. 2:11Mt 12:50; Rom. 8:29
Ebr. 2:12Zab 22:22
Ebr. 2:13Isa 8:17
Ebr. 2:13Isa 8:18
Ebr. 2:14Yoh 1:14
Ebr. 2:14Yob 1:19
Ebr. 2:14Mwa 3:15; Lu 10:18; Yoh 8:44; 1 Yo. 3:8; Ufu 12:9
Ebr. 2:15Isa 25:8; Rom. 8:20, 21; 1 Kor. 15:26
Ebr. 2:16Gal 3:29
Ebr. 2:17Flp 2:7
Ebr. 2:17Rom. 3:25; 1 Yo. 2:1, 2; 4:10
Ebr. 2:17Rom. 5:10
Ebr. 2:18Ebr 4:15
Ebr. 2:18Ebr 7:25; Ufu 3:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 2:1-18

Kwa Waebrania

2 Hiyo ndiyo sababu ni lazima tukaze uangalifu zaidi kuliko kawaida juu ya mambo yenye tulisikia,+ ili tusipeperushwe mbali hata kidogo.+ 2 Kwa maana kama neno lenye lilisemwa kupitia malaika+ lilikuwa hakika, na kila kosa na tendo la kukosa kutii lilipata azabu kupatana na haki,+ 3 namna gani sisi tutaponyoka ikiwa tumepuuza wokovu huo mukubwa wa namna hiyo?+ Kwa maana ulianza kusemwa kupitia Bwana wetu+ na ulihakikishwa kwetu na wale wenye walimusikia, 4 wakati Mungu alijiunga katika kutoa ushahidi kwa alama na maajabu na matendo mbalimbali yenye nguvu+ na kwa roho takatifu yenye ilitolewa kulingana na mapenzi yake.+

5 Kwa maana haiko kwa malaika ndio ametiisha dunia yenye kuikaliwa na watu yenye kuja,+ yenye tunasema juu yake. 6 Lakini mahali fulani shahidi mumoja alisema: “Mwanadamu ni nini ili umuweke katika akili, ao mwana wa binadamu ili umuhangaikie?+ 7 Ulimufanya mudogo kidogo kuliko malaika; ulimuvalisha taji la utukufu na heshima, na kumuweka juu ya kazi za mikono yako. 8 Ulitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Kwa kutiisha vitu vyote chini yake,+ Mungu hakuacha kitu chochote bila kukitiisha chini yake.+ Hata hivyo, sasa hatuone bado vitu vyote kuwa vimetiishwa chini yake.+ 9 Lakini tunamuona Yesu, mwenye alifanywa kuwa mudogo kidogo kuliko malaika,+ sasa amevalishwa taji la utukufu na heshima kwa sababu alipatwa na kifo,+ ili kwa fazili zenye hazistahiliwe za Mungu aonje kifo kwa ajili ya kila mutu.+

10 Kwa maana ilifaa kwamba ule mwenye kwa ajili yake na kupitia yeye vitu vyote viko, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ afanye Kiongozi Mukubwa wa wokovu wao+ kuwa mukamilifu kupitia mateso.+ 11 Kwa maana ule mwenye anatakasa na pia wale wenye wanatakaswa+ wote wanatokana na mumoja,+ na kwa sababu hiyo yeye hasikie haya kuwaita ndugu,+ 12 wakati anasema: “Nitatangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu kwa wimbo.”+ 13 Na tena: “Nitamutegemea yeye.”+ Na tena: “Angalia! Mimi na watoto wadogo, wenye Yehova* alinipatia.”+

14 Basi, kwa kuwa “watoto wadogo” ni washiriki wa damu na mwili, vilevile yeye pia alishiriki mambo yaleyale,+ ili kupitia kifo chake aharibu ule mwenye kuwa na uwezo wa kutokeza kifo,+ ni kusema, Ibilisi,+ 15 na ili aweke huru* wale wote wenye walikuwa chini ya utumwa katika maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa kifo.+ 16 Kwa maana kwa kweli haiko malaika ndio anasaidia, lakini anasaidia uzao wa* Abrahamu.+ 17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili akuwe kuhani mukubwa mwenye rehema na muaminifu katika mambo yenye yanahusiana na Mungu, ili atoe zabihu ya kufunika zambi+ kwa ajili ya zambi za watu.+ 18 Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteseka wakati alijaribiwa,+ anaweza kusaidia wale wenye wanajaribiwa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine