Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Utakaso wa mwanamuke kisha kuzaa mutoto (1-8)

Mambo ya Walawi 12:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hezi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 15:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2012, uku. 17

    15/5/2004, uku. 23

Mambo ya Walawi 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Govi ni ngozi yenye kufunika sehemu ya mbele ya kiungo cha uzazi cha mwanaume mwenye hajatahiriwa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 17:12; 21:4; Lu 1:59; 2:21, 22; Yoh 7:22

Mambo ya Walawi 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hezi.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 23

Mambo ya Walawi 12:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:10

Mambo ya Walawi 12:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:14; 5:7; 14:21, 22; Lu 2:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 23

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 12:2Law. 15:19
Mambo ya walawi 12:3Mwa 17:12; 21:4; Lu 1:59; 2:21, 22; Yoh 7:22
Mambo ya walawi 12:6Law. 1:10
Mambo ya walawi 12:8Law. 1:14; 5:7; 14:21, 22; Lu 2:24
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 12:1-8

Mambo ya Walawi

12 Yehova akaendelea kusema na Musa: 2 “Ambia Waisraeli, ‘Kama mwanamuke anapata mimba na anazaa mutoto mwanaume, mwanamuke huyo hatakuwa safi kwa siku saba (7), atakuwa tu kama vile anakuwaka katika siku zake za kuona mwezi.*+ 3 Siku ya munane (8), nyama ya govi* la mutoto huyo itatahiriwa.+ 4 Mwanamuke huyo ataendelea kujitakasa kutokana na ile damu kwa siku makumi tatu na tatu (33) zenye zitafuata. Hapaswe kugusa kitu chochote kitakatifu, na hapaswe kuingia katika mahali patakatifu mupaka wakati atamaliza siku za utakaso wake.

5 “Kama anazaa mutoto mwanamuke, mwanamuke huyo hatakuwa safi kwa siku kumi na ine (14), atakuwa kama vile anakuwaka katika siku zake za kuona mwezi.* Ataendelea kujitakasa kutokana na ile damu kwa siku makumi sita na sita (66) zenye zitafuata. 6 Wakati siku zake za utakaso kwa ajili ya mutoto mwanaume ao mutoto mwanamuke zitamalizika, atamuletea kuhani mwana-kondoo dume katika mwaka wake wa kwanza kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ na njiwa mudogo ao njiwa-tetere kwa ajili ya toleo la zambi kwenye muingilio wa hema ya mukutano. 7 Kuhani atatoa toleo hilo mbele ya Yehova na kufunika zambi kwa ajili ya mwanamuke huyo, na atakuwa safi kutokana na mutiririko wake wa damu. Hii ni sheria kuhusu mwanamuke mwenye anazaa mutoto mwanaume ao mutoto mwanamuke. 8 Lakini kama hawezi kupata kondoo, basi anapaswa kukamata njiwa-tetere wawili ao njiwa wawili wadogo,+ mumoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa na mumoja kwa ajili ya toleo la zambi, na kuhani atafunika zambi kwa ajili ya mwanamuke huyo, na atakuwa safi.’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine