Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Tabenakulo yenye kufananisha vitu vya mbinguni (1-6)

      • Tofauti kati ya agano jipya na agano la kale (7-13)

Waebrania 8:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 3:1; 7:26
  • +Zab 110:1; Ebr 1:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Shule ya Huduma, uku. 29

Waebrania 8:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mutumishi wa watu wote.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 9:8, 24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2000, uku. 11

Waebrania 8:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2000, uku. 14

Waebrania 8:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 7:14

Waebrania 8:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 2:16, 17; Ebr 10:1
  • +Ebr 9:9, 24
  • +Kut 25:9, 40; 26:30; Hes 8:4

Waebrania 8:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utumishi wa watu wote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 2:5
  • +1 Kor. 11:25; Ebr 7:22; 9:15; 12:22, 24
  • +Zab 110:4; Rom. 8:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2000, uku. 11

Waebrania 8:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 7:11, 18

Waebrania 8:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Waebrania 8:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:51

Waebrania 8:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 2:29
  • +2 Kor. 6:16

Waebrania 8:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Waebrania 8:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 31:31-34

Waebrania 8:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 10:4; Ebr 7:12
  • +Kol 2:13, 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2014, uku. 15-16

    “Kila Andiko,” uku. 24

Maandiko ingine

Ebr. 8:1Ebr 3:1; 7:26
Ebr. 8:1Zab 110:1; Ebr 1:3
Ebr. 8:2Ebr 9:8, 24
Ebr. 8:3Efe 5:2
Ebr. 8:4Ebr 7:14
Ebr. 8:5Kol 2:16, 17; Ebr 10:1
Ebr. 8:5Ebr 9:9, 24
Ebr. 8:5Kut 25:9, 40; 26:30; Hes 8:4
Ebr. 8:61 Tim. 2:5
Ebr. 8:61 Kor. 11:25; Ebr 7:22; 9:15; 12:22, 24
Ebr. 8:6Zab 110:4; Rom. 8:17
Ebr. 8:7Ebr 7:11, 18
Ebr. 8:9Kut 12:51
Ebr. 8:10Rom. 2:29
Ebr. 8:102 Kor. 6:16
Ebr. 8:12Yer 31:31-34
Ebr. 8:13Rom. 10:4; Ebr 7:12
Ebr. 8:13Kol 2:13, 14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 8:1-13

Kwa Waebrania

8 Sasa jambo kubwa la mambo yenye tunasema ni hili: Tuko na kuhani mukubwa wa namna hii,+ na amekaa kwenye mukono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukubwa mbinguni,+ 2 mutumishi* wa mahali patakatifu+ na wa hema ya kweli, yenye imesimamishwa na Yehova,* hapana na mwanadamu. 3 Kwa maana kila kuhani mukubwa anawekwa ili kutoa zawadi na pia zabihu; basi ilikuwa lazima huyu pia akuwe na kitu cha kutoa.+ 4 Kama angekuwa katika dunia, hangekuwa kuhani,+ kwa kuwa tayari kuko watu wenye wanatoa zawadi kulingana na Sheria. 5 Watu hao wanatoa utumishi mutakatifu katika mufano na kivuli+ cha vitu vya mbinguni;+ kama vile Musa, wakati alikuwa karibu kujenga hema, alipewa amri na Mungu: Kwa maana Mungu anasema: “Uhakikishe kwamba unatengeneza vitu vyote kulingana na mufano wavyo wenye ulionyeshwa kwenye mulima.”+ 6 Lakini sasa Yesu amepata utumishi* wa muzuri zaidi kwa sababu yeye vilevile ni mupatanishi+ wa agano la muzuri zaidi,+ lenye limewekwa kisheria juu ya ahadi ya muzuri zaidi.+

7 Kama lile agano la kwanza halingekuwa na kosa, hakungekuwa lazima ya agano la pili.+ 8 Kwa maana analaumu watu wakati anasema: “‘Angalia! Siku zinakuja,’ ni vile Yehova* anasema, ‘wakati nitafanya agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda. 9 Halitakuwa kama lile agano lenye nilifanya pamoja na mababu zao ile siku yenye nilishika mukono wao ili kuwaongoza kutoka katika inchi ya Misri,+ kwa sababu hawakubakia katika agano langu, basi nikaacha kuwahangaikia,’ ni vile Yehova* anasema.

10 “‘Kwa maana hili ndilo agano lenye nitafanya pamoja na nyumba ya Israeli kisha siku hizo,’ ni vile Yehova* anasema. ‘Nitatia sheria zangu katika akili yao, na nitaziandika katika mioyo yao.+ Na nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.+

11 “‘Na hawatafundishana tena kila mutu na mwanainchi mwenzake na kila mutu na ndugu yake, wakisema: “Umujue Yehova!”* Kwa maana wote watanijua, kuanzia mudogo zaidi mupaka mukubwa zaidi kati yao. 12 Kwa maana nitakuwa mwenye rehema kuelekea matendo yao yenye hayako ya haki, na sitakumbuka tena zambi zao.’”+

13 Wakati anasema “agano jipya,” amefanya lile la zamani likuwe lenye halifae tena.+ Basi kile chenye hakifae tena na chenye kuzeeka kiko karibu kupotea.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine