Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Mungu anasema kupitia Mwana wake (1-4)

      • Mwana ni mukubwa kuliko malaika (5-14)

Waebrania 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:3; Hes 12:8; Yer 7:25

Waebrania 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mifumo ya mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 17:5
  • +Zab 2:8
  • +Yoh 1:3; 1 Kor. 8:6; Kol 1:16

Waebrania 1:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:14; 17:5
  • +Kol 1:15
  • +Ebr 9:26
  • +Zab 110:1; Mdo 2:32, 33; 7:55

Waebrania 1:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 1:20, 21; 1 Pe. 3:22
  • +Mdo 4:12; Flp 2:9, 10

Waebrania 1:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 2:7
  • +2 Sa. 7:14; Mk 1:11; Lu 9:35; 2 Pe. 1:17

Waebrania 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:14; Rom. 8:29; Kol 1:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    8/4/2000, uku. 26-27

Waebrania 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watumishi wake wa watu wote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 91:11; Lu 22:43
  • +Zab 104:4

Waebrania 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “haki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 28:18; Ufu 3:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2007, uku. 6

Waebrania 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 61:1; Lu 3:21, 22; 4:18
  • +Zab 45:6, 7

Waebrania 1:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 102:25-27

Waebrania 1:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 110:1; Mt 22:44

Waebrania 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utumishi wa watu wote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:7; 91:11; Mdo 5:18, 19

Maandiko ingine

Ebr. 1:1Kut 24:3; Hes 12:8; Yer 7:25
Ebr. 1:2Mt 17:5
Ebr. 1:2Zab 2:8
Ebr. 1:2Yoh 1:3; 1 Kor. 8:6; Kol 1:16
Ebr. 1:3Yoh 1:14; 17:5
Ebr. 1:3Kol 1:15
Ebr. 1:3Ebr 9:26
Ebr. 1:3Zab 110:1; Mdo 2:32, 33; 7:55
Ebr. 1:4Efe 1:20, 21; 1 Pe. 3:22
Ebr. 1:4Mdo 4:12; Flp 2:9, 10
Ebr. 1:5Zab 2:7
Ebr. 1:52 Sa. 7:14; Mk 1:11; Lu 9:35; 2 Pe. 1:17
Ebr. 1:6Yoh 1:14; Rom. 8:29; Kol 1:15
Ebr. 1:7Zab 91:11; Lu 22:43
Ebr. 1:7Zab 104:4
Ebr. 1:8Mt 28:18; Ufu 3:21
Ebr. 1:9Isa 61:1; Lu 3:21, 22; 4:18
Ebr. 1:9Zab 45:6, 7
Ebr. 1:12Zab 102:25-27
Ebr. 1:13Zab 110:1; Mt 22:44
Ebr. 1:14Zab 34:7; 91:11; Mdo 5:18, 19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 1:1-14

Kwa Waebrania

1 Zamani sana Mungu alisema na mababu zetu kupitia manabii mara nyingi na kwa njia nyingi.+ 2 Sasa kwenye mwisho wa siku hizi amesema na sisi kupitia Mwana,+ mwenye aliweka kuwa muriti wa vitu vyote,+ na mwenye kupitia yeye alifanya mipangilio ya mambo.*+ 3 Yeye ndiye murudisho wa utukufu wa Mungu+ na mufano kamili wa utu wake,+ na anategemeza vitu vyote kwa neno la nguvu zake. Na kisha yeye kufanya utakaso wa zambi zetu,+ alikaa kwenye mukono wa kuume wa Ukubwa kule juu.+ 4 Kwa hiyo amekuwa muzuri kuliko malaika+ kwa maana ameriti jina la muzuri sana kuliko jina lao.+

5 Kwa mufano, ni nani kati ya malaika mwenye Mungu amekwisha kuambia: “Wewe ni mwana wangu; leo mimi nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwana wangu”?+ 6 Lakini wakati anamuleta tena Muzaliwa wake wa kwanza+ katika dunia yenye kuikaliwa na watu, anasema: “Na malaika wote wa Mungu wainame mbele yake.”

7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Anafanya malaika wake kuwa roho, na watumishi wake*+ kuwa mwali wa moto.”+ 8 Lakini juu ya Mwana, anasema: “Mungu ni kiti chako cha ufalme+ milele na milele, na fimbo ya Ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.* 9 Ulipenda haki, na ukachukia uvunjaji wa sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, alikutia mafuta+ kwa mafuta ya furaha kuliko wenzako.”+ 10 Na: “Katika mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi ya dunia, na mbingu ni kazi za mikono yako. 11 Hizo zitaangamia, lakini wewe utaendelea kuwa; na zote zitazeeka kama vile nguo, 12 na utazikunja kama ile nguo ya inje, kama nguo, na zitabadilishwa. Lakini wewe ni uleule, na miaka yako haitafikia mwisho hata siku moja.”+

13 Lakini ni juu ya nani kati ya malaika amekwisha kusema: “Kaa kwenye mukono wangu wa kuume mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako”?+ 14 Je, wao wote hawako roho kwa ajili ya utumishi mutakatifu,*+ wenye walitumwa ili kutumikia wale wenye watariti wokovu?

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine