Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Melkisedeki, mufalme na kuhani wa pekee (1-10)

      • Ukubwa wa ukuhani wa Kristo (11-28)

        • Kristo anaweza kuokoa kwa ukamili (25)

Waebrania 7:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 14:17-20

Waebrania 7:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akamugawia.”

Waebrania 7:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa kuendelea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 110:4

Waebrania 7:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muzee wa ukoo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 14:20

Waebrania 7:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “zaka.”

  • *

    Tnn., “wametoka katika viuno vya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:12, 15
  • +Hes 18:21, 26; Kum 14:28

Waebrania 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “zaka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 12:7; 14:18-20; 17:6; 22:17

Waebrania 7:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “zaka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 7:3

Waebrania 7:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “zaka.”

  • *

    Ao “zaka.”

Waebrania 7:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “alikuwa katika viuno vya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 14:18

Waebrania 7:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 3:20; Ebr 7:19; 9:9; 10:1
  • +Zab 110:4

Waebrania 7:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 3:27; 1 Kor. 9:21; Gal 6:2; Kol 2:13, 14

Waebrania 7:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 18:6, 7

Waebrania 7:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:10; Mt 1:1, 3; Lu 3:23, 33

Waebrania 7:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 3:1; 7:26
  • +Zab 110:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 18

Waebrania 7:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 6:9; 1 Tim. 6:16

Waebrania 7:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 110:4

Waebrania 7:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:3; Ebr 9:9; 13:9

Waebrania 7:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:38, 39; Gal 2:15, 16; Ebr 10:1
  • +1 Pe. 1:3, 4
  • +Yoh 14:6; Ebr 4:16

Waebrania 7:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Ao “hatasikitika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 110:4

Waebrania 7:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ule mwenye aliwekwa kuwa kitu chenye kinawekeshwa kwa ajili ya mukopo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 31:31; Mt 26:27, 28; 1 Kor. 11:25; Ebr 8:6; 9:15; 12:22, 24

Waebrania 7:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 6:4

Waebrania 7:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 1:33; Ebr 7:15, 16

Waebrania 7:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:34; 1 Tim. 2:5; Ebr 9:24; 1 Yo. 2:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    11/2010, uku. 21

Waebrania 7:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 53:9; 1 Pe. 2:21, 22
  • +Efe 1:20, 21; 1 Pe. 3:22

Waebrania 7:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 28:3
  • +Law. 9:8, 15
  • +Rom. 6:10; Ebr 9:28; 10:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 14

Waebrania 7:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 16:11
  • +Zab 2:7; 110:4
  • +Ebr 2:10; 5:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 14

Maandiko ingine

Ebr. 7:1Mwa 14:17-20
Ebr. 7:3Zab 110:4
Ebr. 7:4Mwa 14:20
Ebr. 7:5Kut 40:12, 15
Ebr. 7:5Hes 18:21, 26; Kum 14:28
Ebr. 7:6Mwa 12:7; 14:18-20; 17:6; 22:17
Ebr. 7:8Ebr 7:3
Ebr. 7:10Mwa 14:18
Ebr. 7:11Rom. 3:20; Ebr 7:19; 9:9; 10:1
Ebr. 7:11Zab 110:4
Ebr. 7:12Rom. 3:27; 1 Kor. 9:21; Gal 6:2; Kol 2:13, 14
Ebr. 7:13Hes 18:6, 7
Ebr. 7:14Mwa 49:10; Mt 1:1, 3; Lu 3:23, 33
Ebr. 7:15Ebr 3:1; 7:26
Ebr. 7:15Zab 110:4
Ebr. 7:16Rom. 6:9; 1 Tim. 6:16
Ebr. 7:17Zab 110:4
Ebr. 7:18Rom. 8:3; Ebr 9:9; 13:9
Ebr. 7:19Mdo 13:38, 39; Gal 2:15, 16; Ebr 10:1
Ebr. 7:191 Pe. 1:3, 4
Ebr. 7:19Yoh 14:6; Ebr 4:16
Ebr. 7:21Zab 110:4
Ebr. 7:22Yer 31:31; Mt 26:27, 28; 1 Kor. 11:25; Ebr 8:6; 9:15; 12:22, 24
Ebr. 7:231Nya 6:4
Ebr. 7:24Lu 1:33; Ebr 7:15, 16
Ebr. 7:25Rom. 8:34; 1 Tim. 2:5; Ebr 9:24; 1 Yo. 2:1
Ebr. 7:26Isa 53:9; 1 Pe. 2:21, 22
Ebr. 7:26Efe 1:20, 21; 1 Pe. 3:22
Ebr. 7:27Hes 28:3
Ebr. 7:27Law. 9:8, 15
Ebr. 7:27Rom. 6:10; Ebr 9:28; 10:14
Ebr. 7:28Law. 16:11
Ebr. 7:28Zab 2:7; 110:4
Ebr. 7:28Ebr 2:10; 5:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 7:1-28

Kwa Waebrania

7 Kwa maana huyu Melkisedeki, mufalme wa Salemu, kuhani wa Mungu Mwenye Kuwa Juu Zaidi, alikutana na Abrahamu wakati alikuwa anarudia kutoka kuua wafalme na akamubariki,+ 2 na Abrahamu akamupatia* sehemu moja ya kumi (1/10) ya kila kitu. Kwanza, jina lake linatafsiriwa “Mufalme wa Haki,” na kisha pia mufalme wa Salemu, ni kusema, “Mufalme wa Amani.” 3 Kwa kuwa hana baba, hana mama, hana ukoo, na hana mwanzo wa siku wala mwisho wa uzima, lakini akiwa amefanywa kama Mwana wa Mungu, anaendelea kuwa kuhani kwa wakati wote.*+

4 Muone namna mutu huyu alikuwa mukubwa, mwenye Abrahamu ule kichwa cha familia,* alipatia sehemu moja ya kumi (1/10) kutoka kati ya vitu vya muzuri zaidi vyenye vilichukuliwa katika vita.+ 5 Ni kweli, kulingana na Sheria, wana wa Lawi+ wenye wanapokea cheo chao cha ukuhani, wako na amri ya kukusanya sehemu moja za kumi (1/10)* kutoka kwa watu,+ ni kusema, kutoka kwa ndugu zao, hata kama hao ni wazao wa* Abrahamu. 6 Lakini mutu huyu mwenye kizazi chake hakitokane nao, alikamata sehemu moja za kumi (1/10)* kutoka kwa Abrahamu na akamubariki ule mwenye alikuwa na zile ahadi.+ 7 Sasa hakuna mashaka kwamba mudogo anabarikiwa na mukubwa. 8 Na kwa upande mumoja, ni watu wenye wanaweza kufa ndio wanapokea sehemu moja za kumi (1/10),* lakini kwa upande mwingine, ni mutu mwenye anatolewa ushahidi kwamba anaishi.+ 9 Na inaweza kusemwa kwamba hata Lawi, mwenye anapokea sehemu moja za kumi (1/10),* amelipa sehemu moja za kumi* kupitia Abrahamu, 10 kwa maana alikuwa angali muzao wa wakati wenye kuja wa* babu yake wakati Melkisedeki alikutana naye.+

11 Basi, kama kwa kweli ukamilifu ungeweza kupatikana kupitia ukuhani wa Walawi+ (kwa maana huo ulikuwa sehemu ya Sheria yenye watu walipewa), kungekuwa lazima gani tena kwamba kuhani mwingine atokee mwenye anasemwa kuwa iko* kwa mufano wa Melkisedeki+ na hapana kwa mufano wa Haruni? 12 Kwa maana, kwa kuwa ukuhani unabadilishwa, inakuwa lazima kubadilisha Sheria pia.+ 13 Kwa maana mutu mwenye mambo haya yanasemwa juu yake alitoka katika kabila lingine, na hakuna mutu wa kabila hilo mwenye ametumikia kwenye mazabahu.+ 14 Kwa maana ni wazi kwamba Bwana wetu ametoka katika kizazi cha Yuda,+ na Musa hakusema jambo lolote juu ya makuhani wenye kutoka katika kabila hilo.

15 Na hilo linakuwa wazi hata zaidi wakati kuhani mwingine+ mwenye kuwa kama Melkisedeki anatokea,+ 16 mwenye amekuwa vile, haiko kupitia mambo yenye sheria inaomba yenye yanategemea uzao wa kimwili, lakini kupitia nguvu za uzima wenye hauwezi kuharibika.+ 17 Kwa maana imesemwa katika ushahidi juu yake: “Wewe ni kuhani milele kwa mufano wa Melkisedeki.”+

18 Kwa hiyo basi, ile amri ya zamani inawekwa pembeni kwa sababu ni zaifu na haifae.+ 19 Kwa maana Sheria haikufanya kitu chochote kikuwe kikamilifu,+ lakini kuletwa kwa tumaini la muzuri zaidi+ kulifanya vile, na kupitia tumaini hilo tunamukaribia Mungu.+ 20 Pia, kwa kuwa jambo hilo halikufanywa bila kiapo kuapwa 21 (kwa maana kwa kweli, kuko watu wenye wamekuwa makuhani bila kiapo chenye kuapwa, lakini huyu amekuwa kuhani kupitia kiapo chenye kiliapwa juu yake na Ule mwenye alisema: “Yehova* ameapa na hatabadilisha mawazo yake,* ‘Wewe ni kuhani milele’”),+ 22 vilevile pia Yesu amekuwa uhakikisho* wa agano la muzuri zaidi.+ 23 Zaidi ya hayo, watu wengi walikuwa makuhani mumoja kisha mwingine+ kwa sababu kifo kiliwazuia kuendelea kuwa makuhani, 24 lakini kwa sababu yeye anaendelea kuishi milele,+ hakuna wale wenye wanariti ukuhani wake. 25 Basi anaweza pia kuokoa kwa ukamili wale wenye wanamukaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu sikuzote iko* muzima ili kuwaombea.+

26 Kwa maana inafaa tukuwe na kuhani mukubwa kama huyo mwenye kuwa mushikamanifu, mwenye hana kosa, hana uchafu,+ alitenganishwa na watenda-zambi, na aliinuliwa juu ya mbingu.+ 27 Tofauti na wale makuhani wakubwa, yeye hana lazima ya kutoa zabihu kila siku,+ kwanza kwa ajili ya zambi zake yeye mwenyewe na kisha kwa ajili ya zambi za watu,+ kwa sababu alifanya vile mara moja kwa wakati wote wakati alijitoa yeye mwenyewe.+ 28 Kwa maana Sheria inawaweka kuwa makuhani wakubwa watu wenye wako na uzaifu,+ lakini neno la kiapo+ chenye kiliapwa kisha Sheria linamuweka Mwana, mwenye amefanywa kuwa mukamilifu+ milele.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine