Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Timoteo 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Timoteo

      • Sifa za kustahili kuwa mwangalizi (1-7)

      • Sifa za kustahili kuwa mutumishi wa huduma (8-13)

      • Siri takatifu ya ushikamanifu kwa Mungu (14-16)

1 Timoteo 3:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:28; Tit 1:5-9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    8/2016, uku. 16

    Tengenezo, uku. 30-32, 38

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2014, uku. 3-4

    15/5/2010, uku. 24

    1/1/2001, uku. 9

    1/7/2000, uku. 29

    “Kila Andiko,”

    uku. 236-237

1 Timoteo 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uwezo wa kuchukua maamuzi ya muzuri; busara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:3; 1 Pe. 4:7
  • +Mdo 28:7; 1 Pe. 4:9
  • +1 Tim. 5:17; 2 Tim. 2:24; Tit 1:7, 9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 30-31, 32-35

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2013, uku. 29

1 Timoteo 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mutu mwenye anapiga watu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 13:13
  • +Flp 4:5; Yak 3:17
  • +Rom. 12:18; Yak 3:18
  • +Ebr 13:5; 1 Pe. 5:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 30-31, 33-34

1 Timoteo 3:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuongoza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo,

    uku. 30-33, 125

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2011, uku. 26

1 Timoteo 3:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuongoza.”

  • *

    Ao “atahangaikia.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 30-33

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2012, uku. 9

1 Timoteo 3:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 5:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 30-32

1 Timoteo 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye sifa ya muzuri.”

  • *

    Ao “ili asipate haya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 22:12; 1 Tes. 4:11, 12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 30-33

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2005, uku. 30

1 Timoteo 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wasikuwe wadanganyifu katika maneno.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 6:3; Tit 1:7; 1 Pe. 5:2

1 Timoteo 3:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 1:5, 18, 19; 2 Tim. 1:3; 1 Pe. 3:16

1 Timoteo 3:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wajaribiwe ili kujua kama wanastahili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 2:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 51

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2011, uku. 11

    1/5/2006, uku. 23-24

    Huduma ya Ufalme,

    5/2000, uku. 8

1 Timoteo 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 5:13
  • +Tit 2:3-5

1 Timoteo 3:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 125

1 Timoteo 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 3:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/4/2007, uku. 29

1 Timoteo 3:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:14; Flp 2:7
  • +1 Pe. 3:18
  • +1 Pe. 3:19, 20
  • +Kol 1:23
  • +Kol 1:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 196

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2008, uku. 30-31

    15/6/2008, uku. 13

    15/2/2006, uku. 19

Maandiko ingine

1 Timotheo 3:1Mdo 20:28; Tit 1:5-9
1 Timotheo 3:2Rom. 12:3; 1 Pe. 4:7
1 Timotheo 3:2Mdo 28:7; 1 Pe. 4:9
1 Timotheo 3:21 Tim. 5:17; 2 Tim. 2:24; Tit 1:7, 9
1 Timotheo 3:3Rom. 13:13
1 Timotheo 3:3Flp 4:5; Yak 3:17
1 Timotheo 3:3Rom. 12:18; Yak 3:18
1 Timotheo 3:3Ebr 13:5; 1 Pe. 5:2
1 Timotheo 3:4Efe 6:4
1 Timotheo 3:61 Tim. 5:22
1 Timotheo 3:7Mdo 22:12; 1 Tes. 4:11, 12
1 Timotheo 3:8Mdo 6:3; Tit 1:7; 1 Pe. 5:2
1 Timotheo 3:91 Tim. 1:5, 18, 19; 2 Tim. 1:3; 1 Pe. 3:16
1 Timotheo 3:101 Pe. 2:12
1 Timotheo 3:111 Tim. 5:13
1 Timotheo 3:11Tit 2:3-5
1 Timotheo 3:15Ebr 3:6
1 Timotheo 3:16Yoh 1:14; Flp 2:7
1 Timotheo 3:161 Pe. 3:18
1 Timotheo 3:161 Pe. 3:19, 20
1 Timotheo 3:16Kol 1:23
1 Timotheo 3:16Kol 1:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Timoteo 3:1-16

Ya Kwanza kwa Timoteo

3 Neno hili ni lenye kutegemeka: Kama mwanaume anajikaza ili akuwe mwangalizi,+ anatamani kazi ya muzuri. 2 Basi, mwangalizi anapaswa kuwa bila lawama, bwana wa bibi mumoja, mwenye kiasi katika tabia zake, mwenye akili ya muzuri,*+ mwenye utaratibu, mwenye kukaribisha wageni,+ mwenye uwezo wa kufundisha,+ 3 hapaswe kuwa mulevi,+ wala mutu wa jeuri,* lakini akuwe mwenye usawaziko,+ hapaswe kuwa mugomvi,+ wala mutu mwenye kupenda feza,+ 4 akuwe mwanaume mwenye kusimamia* muzuri nyumba yake mwenyewe, mwenye watoto watiifu na wenye kuchukua mambo kwa uzito+ 5 (kwa maana kama mutu hajue namna ya kusimamia* nyumba yake mwenyewe, atatunza* namna gani kutaniko la Mungu?), 6 hapaswe kuwa muamini mupya,+ ili asijivune kwa kiburi na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alihukumiwa. 7 Zaidi ya hayo, anapaswa pia kuwa na ushuhuda muzuri* kutoka kwa watu wa inje,+ ili asiangukie katika lawama* na katika mutego wa Ibilisi.

8 Vilevile watumishi wa huduma wanapaswa kuchukua mambo kwa uzito, wasikuwe na ndimi mbili,* wasikuwe wenye kunywa divai nyingi, wasikuwe na pupa ya faida yenye haiko ya haki,+ 9 wakuwe wenye kushika siri takatifu ya imani kwa zamiri safi.+

10 Pia, wanapaswa kujaribiwa kwanza ili kujua kama wanafaa;* kisha watumike wakiwa watumishi, kwa kuwa hawana shitaka.+

11 Vilevile wanamuke wanapaswa kuchukua mambo kwa uzito, wasikuwe wachongezi,+ wakuwe na kiasi katika tabia zao, na waaminifu katika mambo yote.+

12 Mutumishi wa huduma anapaswa kuwa bwana wa bibi mumoja, na mwenye kusimamia muzuri watoto wake na nyumba yake mwenyewe. 13 Kwa maana wanaume wenye kutumikia muzuri wanajipatia wenyewe sifa ya muzuri na uhuru mwingi wa kusema katika imani yenye kuwa katika Kristo Yesu.

14 Ninakuandikia mambo haya, hata kama ninatumaini kuja kwako hivi karibuni, 15 lakini nikichelewa, ujue namna unapaswa kujiendesha katika nyumba ya Mungu,+ ambayo ni kutaniko la Mungu mwenye kuishi, nguzo na tegemezo la ile kweli. 16 Kwa kweli, siri takatifu ya huu ushikamanifu kwa Mungu ni kubwa kabisa: ‘Alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa katika roho kuwa mwenye haki,+ aliwatokea malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ aliaminiwa katika ulimwengu,+ alipokewa juu katika utukufu.’

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine