Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Mahubiri ya Paulo katika Korinto (1-5)

      • Uzuri zaidi wa hekima ya Mungu (6-10)

      • Mutu wa kiroho na mutu wa kimwili (11-16)

1 Wakorinto 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 1:17
  • +Efe 3:5, 6; Kol 2:2

1 Wakorinto 2:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 6:14

1 Wakorinto 2:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 27

1 Wakorinto 2:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:18, 19; 1 Kor. 4:20; 1 Tes. 1:5

1 Wakorinto 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mufumo huu wa mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 14:20; Efe 4:13; Ebr 5:14
  • +1 Kor. 15:24

1 Wakorinto 2:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mifumo ya mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 16:25, 26; Efe 3:8, 9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 189-198

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2003, uku. 24-25

1 Wakorinto 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mufumo huu wa mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “hawangeua kwenye muti.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 7:48; Mdo 13:27, 28

1 Wakorinto 2:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 64:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Unabii wa Isaya 2, uku. 366

1 Wakorinto 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 16:17; Mk 4:11; Efe 3:5; 2 Tim. 1:9, 10; 1 Pe. 1:12
  • +Yoh 14:26; 1 Yo. 2:27
  • +Rom. 11:33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 20-24

    1/11/2007, uku. 27-29

1 Wakorinto 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 15:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,” uku. 54-56

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2012, uku. 13

    15/7/2010, uku. 3-4

    1/10/2006, uku. 23-24

    1/4/2004, uku. 9-14

    Amuka!,

    12/2009, uku. 12-13

1 Wakorinto 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tunaunganisha mambo ya kiroho pamoja na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 2:8
  • +Yoh 16:13

1 Wakorinto 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hapokee.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    12/2009, uku. 12-13

1 Wakorinto 2:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:5

1 Wakorinto 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 40:13
  • +Rom. 15:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2015, uku. 13

    15/10/2010, uku. 3-7

    15/7/2008, uku. 27

    1/8/2007, uku. 4-7

    15/2/2000, uku. 10-25

Maandiko ingine

1 Wakorintho 2:11 Kor. 1:17
1 Wakorintho 2:1Efe 3:5, 6; Kol 2:2
1 Wakorintho 2:2Gal 6:14
1 Wakorintho 2:4Rom. 15:18, 19; 1 Kor. 4:20; 1 Tes. 1:5
1 Wakorintho 2:61 Kor. 14:20; Efe 4:13; Ebr 5:14
1 Wakorintho 2:61 Kor. 15:24
1 Wakorintho 2:7Rom. 16:25, 26; Efe 3:8, 9
1 Wakorintho 2:8Yoh 7:48; Mdo 13:27, 28
1 Wakorintho 2:9Isa 64:4
1 Wakorintho 2:10Mt 16:17; Mk 4:11; Efe 3:5; 2 Tim. 1:9, 10; 1 Pe. 1:12
1 Wakorintho 2:10Yoh 14:26; 1 Yo. 2:27
1 Wakorintho 2:10Rom. 11:33
1 Wakorintho 2:12Yoh 15:26
1 Wakorintho 2:13Kol 2:8
1 Wakorintho 2:13Yoh 16:13
1 Wakorintho 2:15Rom. 8:5
1 Wakorintho 2:16Isa 40:13
1 Wakorintho 2:16Rom. 15:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 2:1-16

Ya Kwanza kwa Wakorinto

2 Kwa hiyo, wakati nilikuja kwenu, ndugu, sikukuja na maneno ya kushangaza+ ao hekima ili kuwatangazia ninyi siri takatifu+ ya Mungu. 2 Kwa maana niliamua nisijue kitu chochote kati yenu isipokuwa Yesu Kristo, naye akiwa ameuawa kwenye muti.+ 3 Na nilikuja kwenu katika uzaifu na katika woga na nikitetemeka sana; 4 na maneno yangu na mambo yenye nilihubiri hayakukuwa kwa maneno ya kushawishi ya hekima, lakini yalikuwa kwa wonyesho wa roho na nguvu,+ 5 ili imani yenu ikuwe, hapana katika hekima ya wanadamu, lakini katika nguvu za Mungu.

6 Sasa tunazungumuza juu ya hekima kati ya wale wenye kuwa wakomavu,+ lakini hapana hekima ya mupangilio huu wa mambo* ao ile ya watawala wa mupangilio huu wa mambo, wenye watafikia kuwa kitu bure.+ 7 Lakini tunazungumuza juu ya hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima yenye ilifichwa, yenye Mungu alipanga mbele ya wakati mbele ya mipangilio ya mambo* kwa ajili ya utukufu wetu. 8 Ni hekima hiyo ndiyo hakuna mutawala hata mumoja wa mupangilio huu wa mambo* mwenye aliijua,+ kwa maana kama wangeijua hawangemuua* Bwana mwenye utukufu. 9 Lakini kama vile imeandikwa: “Jicho halikuona na sikio halikusikia, wala mambo yenye Mungu ametayarishia wale wenye wanamupenda hayakuwaziwa katika moyo wa mwanadamu.”+ 10 Kwa maana ni kwetu sisi Mungu ameyafunua+ kupitia roho yake,+ kwa maana roho inachunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito ya Mungu.+

11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu mwenye anajua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu yenye kuwa ndani yake? Vilevile pia, hakuna mwenye amefikia kujua mambo ya Mungu isipokuwa roho ya Mungu. 12 Sasa, sisi tulipokea, hapana roho ya ulimwengu, lakini roho yenye inatoka kwa Mungu,+ ili tujue mambo yenye Mungu ametupatia kwa fazili. 13 Mambo hayo tunayasema pia, hapana kwa maneno yenye kufundishwa kwa hekima ya binadamu,+ lakini kwa maneno yenye kufundishwa kwa roho,+ wakati tunaeleza mambo ya kiroho kwa kutumia* maneno ya kiroho.

14 Lakini mutu wa kimwili hakubali* mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; na hawezi kuyajua, kwa sababu yanachunguzwa kwa njia ya kiroho. 15 Hata hivyo, mutu wa kiroho anachunguza mambo yote,+ lakini yeye mwenyewe hachunguzwe na mwanadamu yeyote. 16 Kwa maana “ni nani amejua akili ya Yehova,* ili amufundishe?”+ Lakini sisi tuko na akili ya Kristo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine